viwanja

  1. kidadari

    Natafuta Kampuni inayokopesha viwanja na kulipa kwa kukatwa kwenye mshahara

    Nahitaji kiwanja maeneo ya KIBAHA au CHANIKA ila sina hela cash hivyo kama kuna kampuni inayokopesha viwanja na kulipa kidogo kidogo kwa kukatwa kwenye mshahara wangu nipo tayari. -Kiwanja kiwe na sqm 600 au zaidi. -Bei isizidi milioni 3. -Muda wa makato ni miaka mingapi? -viwe vimepimwa itakua...
  2. kavulata

    CCM oneni aibu kung'ang'ania viwanja nchini visivyotunzwa

    CCM ni chama kikubwa na kikongwe kinachoongozwa na watu wenye weledi mkubwa. Hivyo CCM hakiwezi kufa au kushindwa kujiendesha kama kitarudisha serikalini viwanja vya mpira inavyovimiliki ili vijana wavitumie. Viwanja vinapoteza hadhi na mpira hauchezeki kwenye viwanja hivyo wakati CCM inayo...
  3. Gama

    Upangaji na upimaji wa viwanja vya makazi jiji la Dodoma ni maslah ya nani?

    Ninatazama jinsi mji wa Dodoma ulivyopangwa na namna viwanja vya makazi vinavyopimwa kwa masikitiko makubwa. Viwanja vingi vinavyopimwa ni vidogo mno kwa mahitaji ya makazi ya kizazi cha sasa. Ninachojiuliza: uchafu huu unafanywa kwa maslah ya nani?
  4. Black Thought

    Pata ramani ya nyumba aina yoyote kwa bei nafuu

    Habari wakuu, Ninatoa huduma ya michoro ya ramani za nyumba. Ramani zipo nyingi za aina na ukubwa tofauti, hivyo nitatoa kulingana na mahitaji ya mteja na kufanya marekebisho kidogo ili kukidhi hitaji husika. Utanipa 'details' zako kamili na maelezo ya kiwanja chako. Marekebisho ninayofanya ni...
Back
Top Bottom