viwanja

  1. Z

    Viwanja Pongwe 2 vimehitajika

    Habari Ninatafuta mawasiliano kuhusu viwanja vya Pongwe 2, Bei, Ukubwa.
  2. venchwa

    Ni viwanja gani kwa Mbezi ya Kimara vimetulia nitapata Viburudisho (Lounge) Sports bar

    Nasikia Mbezi kuna sehemu inaitwa Msigani, Kwa God na Mbezi Luxury, Kuna Kiwanja gani kingine maeneo ya Mbezi maana week kesho kutwa napata likizo ya kuwa Tanzania kwa miezi 2. Tupeane information wakuu.
  3. Dr. Zaganza

    Phone4Sale Viwanja Kibaha mjini vinauzwa bei nafuu

    Kampuni ya Drone Ads inakutangazia wewe unayependa kujenga maeneo jirani na kitovu cha mji, kwamba inauza viwanja 150 vilivyopimwa vilivyopo nyuma ya stendi kuu ya Kibaha, eneo la Pangani kilomita 1.5 toka stend, karibu kabisa na hospital ya wilaya Kibaha. Hivyo huduma zote muhimu zipo...
  4. Press Estate Agent

    Plot zinauzwa Goba

    GOBA-KULANGWA Plots zinauzwa zipo kwenye good location ndani ya Goba Kulangwa. size of plots A 1.sqm 400- 26m (negotiable) 2.sqm 400 again ikiwa na nyumba ndogo-27m (negotiable) 3.sqm 700_30m (negotiable) -Hati inatolewa kwa jina lako ila vyote vimepimwa -MAJI yapo -UMEME upo size of plots...
  5. Parabora

    Baba Mkwe kapanga kunipa zawadi ya nyumba, viwanja na pesa za mtaji kama zawadi nikimuoa binti yake. Tatizo nimepoteza hisia na binti yake

    Niko kwenye mahusiano na mdada mmoja ambaye tulikutana kwa mara ya kwanza masomoni UBELGIJI miaka 6 iliyopita, nilimpenda sana na kwa kweli tuliishi nae mda mrefu bila kukwichikwichi kutokana na misimamo yake... Huyu mdada kwetu anajulikana na kila ndugu wa karibu na hata kwao najulikana na wote...
  6. M

    Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

    Mhudumu wa uwanja wa KIA amesema katika kipindi hiki ambapo ugonjwa wa Corona Virus umepiga sana China, idadi ya watalii kutoka China imeongezeka maradufu kuja nchini. Wachina wenyewe wakihojiwa wamesema pamoja na utalii wamekuja kutafuta sehemu salama kukimbia ugonjwa huo kwao. Hii hali...
  7. Nemesis

    Lini Viwanja vinavyomilikiwa na CCM vitakuwa chini ya umiliki wa Serikali Kuu au Halmashauri husika?

    Uwanja wa CCM Kirumba ambao unamilikiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) Enzi za chama kimoja, majengo na maeneo yote ya umma yalikuwa chini ya Serikali. Ujenzi na uendelezaji wa maeneo hayo ulifanya na Serikali kupitia kodi za wananchi, michango, fedha za wafadhili na wahisani mbalimbali. Kwa...
  8. dubu

    Ilala: Kesi ya viwanja ya wanaCCM Masunga na Abdallah Bulembo yapigwa kalenda

    Kesi ya jinai inayomkabili mfanyabiashara ambaye pia aliwahi kuwa Mwenyekiti wa UWT-CCM Wilaya ya Kinondoni, Frolence Masunga (45) mkazi wa Kimara Suka jijini Dar es Salaam imeahirishwa tena. Kesi hiyo imetajwa kwa mara ya pili leo Machi 9,2020 ambapo ilishatajwa kwa mara ya kwanza Januari...
  9. F

    Rais Magufuli jenga viwanja vya michezo kama vya majiji ya Mwanza, Arusha, Tanga na Mbeya

    Nimewaza na kuona ni vema tumuombe RAIS wetu wa JMT, pesa kwa ajili ya ujenzi wa viwanja vya michezo kwa majiji ya Mwanza, Arusha, Tanga na Mbeya. Najua DODOMA tulipata ofa za wahisani. Naomba na kushauri hivyo maana namna ya kukuza michezo kwa ngazi za kimataifa ni kuwa na miundo mbinu...
  10. Erythrocyte

    Mbowe kutikisa Viwanja vya Kware Jumapili hii

    Habari ndio kama mnavyoiona
  11. Erythrocyte

    Picha: Mbowe alipokuwa anaingia viwanja vya Bomang'ombe - Ardhi yatikisika, Umati ni mkubwa kuliko maelezo!

    Wakuu wakati mwingine tunaandika humu JF hadi tunashindwa kueleza , Kiukweli haya mambo sometimes hayaelezeki . Tunaomba radhi sana kwa tunaowakwaza kwa habari zetu hizi motomoro za Mbowe na Chadema , hatuwezi kuficha , maana kuna msemo wa kiswahili unasena hivi , Kizuri kula na nduguyo
  12. diana chumbikino

    Madalali wa nyumba, viwanja kuwa na leseni

    SERIKALI imetoa onyo kwa madalali na waendesha minada wote nchini, wanaoendesha shughuli hizo bila ya kuwa na leseni, kuwa kuanzia sasa atakayebainika hatua kali zitachuliwa dhidi yake. Madalali hao ni wa nyumba, viwanja, mahakama, usafiri na magari na kampuni zinazoendesha minada. Pamoja na...
  13. Kenyan

    Second President of the Republic of Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi dies at 95

    Rais wa Pili wa Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi amefariki dunia Rais Uhuru Kenyatta amewatangazia wananchi wa Kenya asubuhi ya leo. Mzee Moi amefariki leo Februari 04, 2020 alfajiri saa 11 na dakika 20 (5:20am) akiwa na umri wa miaka 95 (ingawa aliyekuwa katibu wake, Lee Njiru amesema...
  14. S

    Naomba tujadili kuhusu Ada ya upimaji viwanja

    Habari Wadau wa JamiiForums, leo nawaletea hoja ambayo imekuwa changamoto hasa kwa wananchi kuhusu tozo ya upimaji wa ardhi katika maeneo mengi Tanzania. Kuna maeneo ambayo yamepimwa na Halmashauri na baada ya Halmashauri husika kushindwa kulipa fidia kwa Wananchi, Uamuzi ulitolewa wananchi...
  15. Am a star

    Plot4Sale Viwanja 20 kwa 20 bei Milioni 1.8 Mabwepande

    UPDATE: Viwanja kwa bei ya M1.8 kimebaki kimoja. eneo jingine bei ni juu kidogo. LOCATION: Mabwepande, Dar es salaam Zinapogeuzia daladala za kutoka Makumbusho hadi kwenye viwanja ni kama umbali wa kutoka makumbusho stand hadi Sayansi. Umeme na maji ni mita 200 kutokea viwanja vilipo...
  16. Maboso

    Miaka 10 ya Diamond ni tishio, stage ya kimataifa yashushwa katika viwanja vya Lake Tanganyika

    Katika kuthibitisha kuwa habahatishi kazi zake, Diamond kaweka stage ya hali ya juu kuelekea show yake ya leo.
  17. Miss Zomboko

    Viwanja vidogo vya ndege 208 vyafungiwa Tanzania baada ya kubainika kushindwa kufuata kanuni

    Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari ametangaza kuvifunga viwanja vidogo vya ndege 208 baada ya kubainika kushindwa kufuata kanuni ya 323 na kanuni nyingine za usafiri wa anga za viwanja vya ndege za mwaka 2017. Amesema kanuni hizo zinakataza uendeshaji wa...
  18. J

    Je, inawezekana kuiunganisha ATCL na Mamlaka ya Viwanja vya Ndege ikawa ni taasisi moja?

    Jana CEO wa ATCL amesema shirika lake liko katika mipango ya kufanya baadhi ya huduma lenyewe bila kutumia wakala, na kati ya huduma hizo ni ile ya chakula na vinywaji ndani ya ndege. Matindi amesema huo ndiyo mfumo wa kisasa unaotumiwa na mashirika mengi ya ndege yenye mafanikio duniani...
  19. chiembe

    Ushauri: Sherehe mbalimbali za kitaifa zifanyike mikoa yote katika viwanja vya CCM, hii itasaidia pesa ya Serikali kutumika kuvikarabati

    Ccm ina viwanja vimetapakaa nchi nzima, lakini vingi vina hali mbaya. Chama chetu hakina fedha za ukarabati. Viwanja kama CCM Kirumba, Kaitaba na vingine vingi, kabla ya mfumo wa vyama vingi, tulitegemea fedha za serikali. Kwa sasa njia pekee ni kuhamishia sherehe za kitaifa katika viwanja...
  20. The Mongolian Savage

    Kabombadier ketu hadi kafike Bongo katakwepa viwanja vingi sana kutua

    Kwasababu ya kukwepa kuzuiwa kwa ajili ya madeni lukuki yaliyosababishwa kizembe na kifisadi, ka mwewe ketu katachagua sana viwanja vya kutua hadi kafike Bongo. Nadhani hakatatua kabisa kwenye nchi za Commonwealth. Ndege zetu sasa hivi ni kama digidigi. So sad really! Lissu bwana akujalie...
Back
Top Bottom