Nasikia Mbezi kuna sehemu inaitwa Msigani, Kwa God na Mbezi Luxury,
Kuna Kiwanja gani kingine maeneo ya Mbezi maana week kesho kutwa napata likizo ya kuwa Tanzania kwa miezi 2.
Tupeane information wakuu.
Kampuni ya Drone Ads inakutangazia wewe unayependa kujenga maeneo jirani na kitovu cha mji, kwamba inauza viwanja 150 vilivyopimwa vilivyopo nyuma ya stendi kuu ya Kibaha, eneo la Pangani kilomita 1.5 toka stend, karibu kabisa na hospital ya wilaya Kibaha. Hivyo huduma zote muhimu zipo...
GOBA-KULANGWA
Plots zinauzwa zipo kwenye good location ndani ya Goba Kulangwa.
size of plots A
1.sqm 400- 26m (negotiable)
2.sqm 400 again ikiwa na nyumba ndogo-27m (negotiable)
3.sqm 700_30m (negotiable)
-Hati inatolewa kwa jina lako ila vyote vimepimwa
-MAJI yapo
-UMEME upo
size of plots...
Niko kwenye mahusiano na mdada mmoja ambaye tulikutana kwa mara ya kwanza masomoni UBELGIJI miaka 6 iliyopita, nilimpenda sana na kwa kweli tuliishi nae mda mrefu bila kukwichikwichi kutokana na misimamo yake... Huyu mdada kwetu anajulikana na kila ndugu wa karibu na hata kwao najulikana na wote...
Mhudumu wa uwanja wa KIA amesema katika kipindi hiki ambapo ugonjwa wa Corona Virus umepiga sana China, idadi ya watalii kutoka China imeongezeka maradufu kuja nchini.
Wachina wenyewe wakihojiwa wamesema pamoja na utalii wamekuja kutafuta sehemu salama kukimbia ugonjwa huo kwao.
Hii hali...
Uwanja wa CCM Kirumba ambao unamilikiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM)
Enzi za chama kimoja, majengo na maeneo yote ya umma yalikuwa chini ya Serikali. Ujenzi na uendelezaji wa maeneo hayo ulifanya na Serikali kupitia kodi za wananchi, michango, fedha za wafadhili na wahisani mbalimbali.
Kwa...
Kesi ya jinai inayomkabili mfanyabiashara ambaye pia aliwahi kuwa Mwenyekiti wa UWT-CCM Wilaya ya Kinondoni, Frolence Masunga (45) mkazi wa Kimara Suka jijini Dar es Salaam imeahirishwa tena.
Kesi hiyo imetajwa kwa mara ya pili leo Machi 9,2020 ambapo ilishatajwa kwa mara ya kwanza Januari...
Nimewaza na kuona ni vema tumuombe RAIS wetu wa JMT, pesa kwa ajili ya ujenzi wa viwanja vya michezo kwa majiji ya Mwanza, Arusha, Tanga na Mbeya. Najua DODOMA tulipata ofa za wahisani.
Naomba na kushauri hivyo maana namna ya kukuza michezo kwa ngazi za kimataifa ni kuwa na miundo mbinu...
Wakuu wakati mwingine tunaandika humu JF hadi tunashindwa kueleza , Kiukweli haya mambo sometimes hayaelezeki .
Tunaomba radhi sana kwa tunaowakwaza kwa habari zetu hizi motomoro za Mbowe na Chadema , hatuwezi kuficha , maana kuna msemo wa kiswahili unasena hivi , Kizuri kula na nduguyo
SERIKALI imetoa onyo kwa madalali na waendesha minada wote nchini, wanaoendesha shughuli hizo bila ya kuwa na leseni, kuwa kuanzia sasa atakayebainika hatua kali zitachuliwa dhidi yake. Madalali hao ni wa nyumba, viwanja, mahakama, usafiri na magari na kampuni zinazoendesha minada.
Pamoja na...
Rais wa Pili wa Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi amefariki dunia
Rais Uhuru Kenyatta amewatangazia wananchi wa Kenya asubuhi ya leo.
Mzee Moi amefariki leo Februari 04, 2020 alfajiri saa 11 na dakika 20 (5:20am) akiwa na umri wa miaka 95 (ingawa aliyekuwa katibu wake, Lee Njiru amesema...
Habari Wadau wa JamiiForums, leo nawaletea hoja ambayo imekuwa changamoto hasa kwa wananchi kuhusu tozo ya upimaji wa ardhi katika maeneo mengi Tanzania.
Kuna maeneo ambayo yamepimwa na Halmashauri na baada ya Halmashauri husika kushindwa kulipa fidia kwa Wananchi, Uamuzi ulitolewa wananchi...
UPDATE:
Viwanja kwa bei ya M1.8 kimebaki kimoja. eneo jingine bei ni juu kidogo.
LOCATION:
Mabwepande, Dar es salaam
Zinapogeuzia daladala za kutoka Makumbusho hadi kwenye viwanja ni kama umbali wa kutoka makumbusho stand hadi Sayansi.
Umeme na maji ni mita 200 kutokea viwanja vilipo...
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari ametangaza kuvifunga viwanja vidogo vya ndege 208 baada ya kubainika kushindwa kufuata kanuni ya 323 na kanuni nyingine za usafiri wa anga za viwanja vya ndege za mwaka 2017.
Amesema kanuni hizo zinakataza uendeshaji wa...
Jana CEO wa ATCL amesema shirika lake liko katika mipango ya kufanya baadhi ya huduma lenyewe bila kutumia wakala, na kati ya huduma hizo ni ile ya chakula na vinywaji ndani ya ndege.
Matindi amesema huo ndiyo mfumo wa kisasa unaotumiwa na mashirika mengi ya ndege yenye mafanikio duniani...
Ccm ina viwanja vimetapakaa nchi nzima, lakini vingi vina hali mbaya. Chama chetu hakina fedha za ukarabati.
Viwanja kama CCM Kirumba, Kaitaba na vingine vingi, kabla ya mfumo wa vyama vingi, tulitegemea fedha za serikali.
Kwa sasa njia pekee ni kuhamishia sherehe za kitaifa katika viwanja...
Kwasababu ya kukwepa kuzuiwa kwa ajili ya madeni lukuki yaliyosababishwa kizembe na kifisadi, ka mwewe ketu katachagua sana viwanja vya kutua hadi kafike Bongo.
Nadhani hakatatua kabisa kwenye nchi za Commonwealth. Ndege zetu sasa hivi ni kama digidigi. So sad really!
Lissu bwana akujalie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.