Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,368
- 217,416
Hii ndio habari inayosambaa kwa kasi Arusha kwa sasa, baadhi ya watu wanaotafuta huduma kwenye maofisi mbalimbali wamelalamika kukosa huduma baada ya maofisa kufika na kusaini kisha kutoroka ili kuwahi Mkutano Mkubwa sana wa Kampeni wa Rais Mtarajiwa Lissu.
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa habari zaidi
UPDATES :
Endelea kufuatilia hapa hapa JF kwa habari zaidi
UPDATES :