Latoyamrosso
Member
- Oct 26, 2019
- 26
- 12
Kiwanja kilichopimwa kipo Mwasonga, Kigamboni kilometer 30 kutoka ferry, ni kiwanja cha makazi chenye ukubwa wa sqm 712 na sqm 725 kila kimoja nauza kwa million 5 unaruhusiwa kutanguliza Milioni 3 nyingine umalizie ndani ya muda tutakao kubaliana
Vimepimwa na vina hati ukilipa cash unapata hati yako, ukilipa kwa awamu mpaka umalize malipo.
Umeme maji vyote vipo.
Karibuni (sina dalali mimi ndiyo muhusika mkuu)
Mawasiliano yangu ni 0686598829
Vimepimwa na vina hati ukilipa cash unapata hati yako, ukilipa kwa awamu mpaka umalize malipo.
Umeme maji vyote vipo.
Karibuni (sina dalali mimi ndiyo muhusika mkuu)
Mawasiliano yangu ni 0686598829