Rais Magufuli jenga viwanja vya michezo kama vya majiji ya Mwanza, Arusha, Tanga na Mbeya

fikirikwanza

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
7,452
3,065
Nimewaza na kuona ni vema tumuombe RAIS wetu wa JMT, pesa kwa ajili ya ujenzi wa viwanja vya michezo kwa majiji ya Mwanza, Arusha, Tanga na Mbeya. Najua DODOMA tulipata ofa za wahisani.

Naomba na kushauri hivyo maana namna ya kukuza michezo kwa ngazi za kimataifa ni kuwa na miundo mbinu mwafaka na toshelezi kwa mchezo husika.

Kwa kweli Majiji tajwa hapo juu yanahitaji viwanja vya kisasa vya mpira. Hii ikiwa sambamba na kujindaa ku host AFCON, CHAN na WORL CUPS under 20, 17, 23 au ya WAKUBWA KABISAA.

TUNAOMBA Kwa unyenyekevu mkubwa kama MKAPA alivyofanya, JK alikosea kidogo angejenga hata kimoja pia, basi wewe vile umetosha kwa VYOTE MBOGA NA UGALI, unakusanya kodi mara mbili au tatu zaidi ya JK, basi tupe viwanja vya michezo japo 2 katika majiji TAJWA. la hali ni nzuri tujengee vyote at par.

Natanguliza shukurani. Nakumbuka Mkapa alisema ili cost aroyund 60Bilion, you can set aside 150 Bilions, Mara mbili kila mwaka wa fedha tukapata viwanja kama TANO ama NNE due to inflations. Binafsi SALUTE to YOU RAIS JPM
 
Ajenge atakumbukwa ile mbaya, kwani siasa kitu gani ajrnge kote tu, inaweza kuwa hawampendi but look he is our president regardless of what not
 
Atuli mpira kwann usiote ainue kilimo ili tupate faida tatu kwanza kuondoa tatizo la ajira,kuongeza fedha za kigeni na kupata chakula cha kutosha nchini.Shibe kwanza michezo baadae
 
Naunga mkono hoja.
Arusha,Mwanza na Mbeya zina Miundo mbinu ya ku host Michezo mikubwa ya Afrika,napo inakuza uchumi na utalii.
 
Magufuli hawezi kwa sababu viwanja wa wananchi waliviiba ccm na ndivyo vyanzo vikubwa vya mapato yao ya chama.Sasa akijenga viwanja vya serikali atafanya viwanja wa chama vikose soko.Sema kwa kuanzia angerekebisha viwanja vya chama chake viwe vya kisasa pamoja na udogo huohuo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, Bado uko karne ya jinjantropas nini? Kilimo ni ajira kama ilivyo kwa Michezo ni ajira na burudani

Sipingi KILIMO ila uzi umesemea MICHEZO

Take note and enjoy


Atuli mpira kwann usiote ainue kilimo ili tupate faida tatu kwanza kuondoa tatizo la ajira,kuongeza fedha za kigeni na kupata chakula cha kutosha nchini.Shibe kwanza michezo baadae
 
MAKINIKIA NDANI YA CHAMA iliangazia walioibia CHAMA na sio chama KIMEIBA nini, hapo warekebishe

Magufuli hawezi kwa sababu viwanja wa wananchi waliviiba ccm na ndivyo vyanzo vikubwa vya mapato yao ya chama.Sasa akijenga viwanja vya serikali atafanya viwanja wa chama vikose soko.Sema kwa kuanzia angerekebisha viwanja vya chama chake viwe vya kisasa pamoja na udogo huohuo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewaza na kuona ni vema tumuombe RAIS wetu wa JMT, pesa kwa ajili ya ujenzi wa viwanja vya michezo kwa majiji ya Mwanza, Arusha, Tanga na Mbeya. Najua DODOMA tulipata ofa za wahisani.

Naomba na kushauri hivyo maana namna ya kukuza michezo kwa ngazi za kimataifa ni kuwa na miundo mbinu mwafaka na toshelezi kwa mchezo husika.

Kwa kweli Majiji tajwa hapo juu yanahitaji viwanja vya kisasa vya mpira. Hii ikiwa sambamba na kujindaa ku host AFCON, CHAN na WORL CUPS under 20, 17, 23 au ya WAKUBWA KABISAA.

TUNAOMBA Kwa unyenyekevu mkubwa kama MKAPA alivyofanya, JK alikosea kidogo angejenga hata kimoja pia, basi wewe vile umetosha kwa VYOTE MBOGA NA UGALI, unakusanya kodi mara mbili au tatu zaidi ya JK, basi tupe viwanja vya michezo japo 2 katika majiji TAJWA. la hali ni nzuri tujengee vyote at par.

Natanguliza shukurani. Nakumbuka Mkapa alisema ili cost aroyund 60Bilion, you can set aside 150 Bilions, Mara mbili kila mwaka wa fedha tukapata viwanja kama TANO ama NNE due to inflations. Binafsi SALUTE to YOU RAIS JPM
una mawazo mazuri, lakini viwanja vilivyopo ccm ilijimilikisha. Sasa vikijengwa vitakuwa mali ya ccm na si mali ya watanzania.
 
Hili la viwanja maadam ni kama 6obil tu, Najua bado ni hiyo hiyo maana JPM hataweka inflation of 20% kwa uadilifu wake kama ambavyo ilipotiwa huko zamani kuwa ktika manunuzi yote 20-30% inapotelea kwenye ganji. tukipata biliooni 300 kwenye makusanyo ya kodi za ndani, kwa mwezi wa tatu au NNE, tuzitenge kwenye viwanja, hizo ni kama 20-25% ya makusanyo yetu kwa mwezi
 
Atuli mpira kwann usiote ainue kilimo ili tupate faida tatu kwanza kuondoa tatizo la ajira,kuongeza fedha za kigeni na kupata chakula cha kutosha nchini.Shibe kwanza michezo baadae
Tangu wamewekeza kwenye kilimo (kilimo kwanza n.k) mpaka leo hizo faida tatu (ulizotaja) bado hamjapata!!?? Kama hamjapata faida basi hata hiyo budget ya ujenzi wa viwanja ikihamishiwa kwenye kilimo haitasaidia kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujenga viwanja bongo ni hasara, mechi za ligi kuu ya vodacom watazamaji elf 10 ni ngumu kupata vinginevyo mchezo uhusishe simba au yanga.

Magufuli jenga barabara za wilaya kuelekea maeneo potential kama kilolo,ifakara,pawaga........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viwanja kwanza ndio watazamaji wawepo, unataka watazamaji wafurike kwenye viwanja sawa na mnada wa ng'ombe au mbuzi? Viwanja hivi sio lazma kizazi chetu over 25 now tutumie, vitatumika vizzuri sana hata baada ya miaka 10 ijayo kuendelea
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom