Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,760
- 19,997
Wana Arusha kuanzia Babati Karatu Monduli Namanga Mto wa Mbu, Usa River Ngaramtoni Mnakaribishwa kesho kwenye viwanja vya NMC RELINI kuanzia saa nne asubuhi. Rais Mtarajiwa Mwanasheria Nguli Barani Afrika na Mpigania Haki TUNDU LISSU pamoja na kipenzi cha Wana Arusha Mbunge G LEMA (Sauti ya Radi) watawahutubia maelfu ya Watanzania.
Gari la Matangazo linapita hapa linapiga kile kibao cha CHADEMA pipozpawaaa Burudani kweli. Watu wanamunkari kumsikia TUNDU LISU akimwaga SERA. Hakika kesho ile Kitu NYOMI usiulize Arusha kama utamaduni CHADEMA imo mioyoni.
Njoo usikilize SERA za UKWELI
Karibuni sanaaaa
Kama kawaida tutakuwa hewani Mubashara hapa jamvini kuanzia asubuhi TUMEJIPANGA
Gari la Matangazo linapita hapa linapiga kile kibao cha CHADEMA pipozpawaaa Burudani kweli. Watu wanamunkari kumsikia TUNDU LISU akimwaga SERA. Hakika kesho ile Kitu NYOMI usiulize Arusha kama utamaduni CHADEMA imo mioyoni.
Njoo usikilize SERA za UKWELI
Karibuni sanaaaa
Kama kawaida tutakuwa hewani Mubashara hapa jamvini kuanzia asubuhi TUMEJIPANGA