Kwa Mara ya kwanza mabomu ya nuclear yalitumika mwaka 1945 pale Hiroshima na Nagasaki
Athali zake zilikuwa kubwa sana. Watu walikufa, miundombinu iliharibika.
Lakini cha ajabu, pamoja na madhara makubwa wa haya mabomu, wanadamu wameendelea kuyatengeneza na kuyaboresha
Haya mabomu...