Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,186
- 10,924
Vita kati ya Hamas na Israel ni kioja kikubwa sana katika historia ya vita. Misikiti na hospitali zote zimevunjwa ikisemwa kuna taarifa za uhakika kuwa viongozi wa Hamas na mateka wapo humo lakini wapi!
Kila wakipiga na kuua watu wanajikuta mikono mitupu, hakuna Hamas wala mateka. Imebidi wawaombe kwa njia ya mazungumzo.
Kioja kikubwa zaidi itakuja siku ya kukabidhiwa mateka hao. Watagundua walikuwa chini ya miguu yao lakini hawakuweza kuwaona.
Kila wakipiga na kuua watu wanajikuta mikono mitupu, hakuna Hamas wala mateka. Imebidi wawaombe kwa njia ya mazungumzo.
Kioja kikubwa zaidi itakuja siku ya kukabidhiwa mateka hao. Watagundua walikuwa chini ya miguu yao lakini hawakuweza kuwaona.