Baraza la vita la Israel karibu kusambaratika. Gantz aenda Marekani kibabe kumshtaki Netanyahu

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Mpinzani mkubwa wa waziri mkuu wa Israel Beny Gantz ameondoka Israel ghafla na bila ruhusua ya Netanyahu kwenda Marekani kukutana na viongozi wa nchi hiyo kuzungumzia vita kati ya nchi yao na Hamas wa Palestina.

Safari hiyo imemuudhi sana Netanyahu kwani alimtaka asiende huko na akaondoka kwa kukaidi amri yake.
Wiki chache zilizopita waziri mwengine wa baraza hilo ambaye mtoto wake ni miongoni mwa askari waliouliwa vitani na Hamas alitoa maneno makali dhidi ya Netanyahu na kutishia kujiondoa kwenye baraza hilo.

Gantz ni kiongozi mpinzani wa asili wa Netanyahu ambaye alikubali kujiunga kwenye baraza hilo kwa tamaa vita vingeisha mapema.
 
An empire toppled by it's enemies can rise again but one which crumbles from within is dead forever.
 
Mpinzani mkubwa wa waziri mkuu wa Israel Beny Gantz ameondoka Israel ghafla na bila ruhusua ya Netanyahu kwenda Marekani kukutana na viongozi wa nchi hiyo kuzungumzia vita kati ya nchi yao na Hamas wa Palestina.
Safari hiyo imemuudhi sana Netanyahu kwani alimtaka asiende huko na akaondoka kwa kukaidi amri yake.
Wiki chache zilizopita waziri mwengine wa baraza hilo ambaye mtoto wake ni miongoni mwa askari waliouliwa vitani na Hamas alitoa maneno makali dhidi ya Netanyahu na kutishia kujiondoa kwenye baraza hilo.
Gantz ni kiongozi mpinzani wa asili wa Netanyahu ambaye alikubali kujiunga kwenye baraza hilo kwa tamaa vita vingeisha mapema.
Ngoja Trump aingie madarakan
 
Trump ndio atamaliza kila kitu.
Akiingia madarakani ni adhabu kwa Marekani na fundisho kwa dunia.
Trump sio mtu wa kumuamini sana hasa linapokuja suala la Israel. Umeshashau kuwa ni yeye ndiye alioutangaja mji mkui mpya wa Israeli kuwa ni Jerusalem na sio Tel Aviv?

Ila kwa Ukraine ni pigo kubwa sana. Trump anafahamu vita ya Ukraine ni mladi wa Biden na mwanae wa kupiga pesa
 
Mpinzani mkubwa wa waziri mkuu wa Israel Beny Gantz ameondoka Israel ghafla na bila ruhusua ya Netanyahu kwenda Marekani kukutana na viongozi wa nchi hiyo kuzungumzia vita kati ya nchi yao na Hamas wa Palestina.

Safari hiyo imemuudhi sana Netanyahu kwani alimtaka asiende huko na akaondoka kwa kukaidi amri yake.
Wiki chache zilizopita waziri mwengine wa baraza hilo ambaye mtoto wake ni miongoni mwa askari waliouliwa vitani na Hamas alitoa maneno makali dhidi ya Netanyahu na kutishia kujiondoa kwenye baraza hilo.

Gantz ni kiongozi mpinzani wa asili wa Netanyahu ambaye alikubali kujiunga kwenye baraza hilo kwa tamaa vita vingeisha mapema.
CIA na nchi kama Qatar na Misri wameona ni bora waachane na Netanyahu na waongee na Gantz ambae wao wamwona ni wale wazayuni ambao ni "moderate" yaani asikiliza yale wanayosema.

Netanyahu sasa hivi ameanza si tu kutengwa na baraza lake la mawaziri bali hata wayahudi wengi ambao wamwona kama ni yeye ndie kizingiti cha maafikiano ya wapalestina kuwa na taifa lao.

Netanyahu pia amesababisha Israeli kutengwa na nchi nyingi rafiki ambazo hapo mwanzo zilikuwa zikiisaidia katika kampeni yake kwamba Israeli yapambana kuimaliza Hamas huko gaza, jambo ambalo limekuwa ni kinyume na badala yale wapalestina wapatao 30,500 wameuawa hadi leo.

Pia ikumbukwe kuwa Netanyahu bado ana kesi ya kujibu inohusiana na mambo ya ufisadi na wengi wa wayahudi wangependa kumwona akifikishwa mahakamani kujibu mashtaka ya kifisadi.

Isitoshe Netanyahu aona kuwa hii vita itaacha "legacy" yake kuwa ni yeye ndie aliewapa ardhi wazayuni ardhi ambayo si yao bali ni ya wapalestina.

Hivyo ukiona Marekani wameamua kuongea na Gantz basi tambua kuwa Benjamin Netanyahu siku zake zahesabika na ataondolewa.
 
Mpinzani mkubwa wa waziri mkuu wa Israel Beny Gantz ameondoka Israel ghafla na bila ruhusua ya Netanyahu kwenda Marekani kukutana na viongozi wa nchi hiyo kuzungumzia vita kati ya nchi yao na Hamas wa Palestina.

Safari hiyo imemuudhi sana Netanyahu kwani alimtaka asiende huko na akaondoka kwa kukaidi amri yake.
Wiki chache zilizopita waziri mwengine wa baraza hilo ambaye mtoto wake ni miongoni mwa askari waliouliwa vitani na Hamas alitoa maneno makali dhidi ya Netanyahu na kutishia kujiondoa kwenye baraza hilo.

Gantz ni kiongozi mpinzani wa asili wa Netanyahu ambaye alikubali kujiunga kwenye baraza hilo kwa tamaa vita vingeisha mapema.
Unahangaika sana kusubiri nazi idondoke kutoka kwenye mti wa muarobaini. Pole sana.
 
Mpinzani mkubwa wa waziri mkuu wa Israel Beny Gantz ameondoka Israel ghafla na bila ruhusua ya Netanyahu kwenda Marekani kukutana na viongozi wa nchi hiyo kuzungumzia vita kati ya nchi yao na Hamas wa Palestina.

Safari hiyo imemuudhi sana Netanyahu kwani alimtaka asiende huko na akaondoka kwa kukaidi amri yake.
Wiki chache zilizopita waziri mwengine wa baraza hilo ambaye mtoto wake ni miongoni mwa askari waliouliwa vitani na Hamas alitoa maneno makali dhidi ya Netanyahu na kutishia kujiondoa kwenye baraza hilo.

Gantz ni kiongozi mpinzani wa asili wa Netanyahu ambaye alikubali kujiunga kwenye baraza hilo kwa tamaa vita vingeisha mapema.
Netanyahu ataingia katika vitabu vya historia kama Waziri Mkuu asiyeyumbishwa na ambaye ni mwiba mkali kwa maadui wa Israel. Hana maneno mengi, mabomu na risasi ndio lugha yake.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Netanyahu ataingia katika vitabu vya historia kama Waziri Mkuu asiyeyumbishwa na ambaye ni mwiba mkali kwa maadui wa Israel. Hana maneno mengi, mabomu na risasi ndio lugha yake.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Nitanyau hana akili, ameshachanganyikiwa. Kajifanya eti anamdindishia sponsor. Sasa inaenda kula kwake na sidhani kama jela itamkosa
 
Hahaha HAMAS wanatafuta huruma sasa. Walijidai tunaweza kupigana na Israel indefinitely, kidogo tu pumzi imekata.

Huyo Gantz kaenda kutibiwa, na kupumzika kidogo, Siunajua wa Israel wengi ni raia wa marekani, kule ni nyumbani hawezi kuomba ruhusa kwa Netanyau.

HAMAS wamepelekewa vita GAZA sasa wanalia lia mara mnaua wanawake na watoto, mara mnalipua hospitali, mara mnaua raia wasiokuwa na hatia, Yote hayao ya nini, Kaeni kimya piganeni.

Binafsi nawasifu kuendelea kuwemo uwanjani licha ya kipigo wanachopata.
 
Mpinzani mkubwa wa waziri mkuu wa Israel Beny Gantz ameondoka Israel ghafla na bila ruhusua ya Netanyahu kwenda Marekani kukutana na viongozi wa nchi hiyo kuzungumzia vita kati ya nchi yao na Hamas wa Palestina.

Safari hiyo imemuudhi sana Netanyahu kwani alimtaka asiende huko na akaondoka kwa kukaidi amri yake.
Wiki chache zilizopita waziri mwengine wa baraza hilo ambaye mtoto wake ni miongoni mwa askari waliouliwa vitani na Hamas alitoa maneno makali dhidi ya Netanyahu na kutishia kujiondoa kwenye baraza hilo.

Gantz ni kiongozi mpinzani wa asili wa Netanyahu ambaye alikubali kujiunga kwenye baraza hilo kwa tamaa vita vingeisha mapema.

View: https://twitter.com/Yonatan_Touval/status/1766524315837632754?t=9gmLzPLwF81Ogs70TR6JoQ&s=19
 
Back
Top Bottom