Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,176
- 10,899
- Mambo yamekuwa mambo !
- Vice Adm. Brad Cooper wa jeshi la wanamaji wa Marekani amesema nchi yake haijawahi kupigana vita vikali vya majini tangu vita vya pili vya dunia kama mwaka huu na wanamgambo wa Houth.
- Amesema wakirusha kitu na wao wanarushiwa
- Maneno hayo yamekuja wakati ambapo vikosi vya ulinzi wa majini vya Marekani na washirika wake wameshindwa kabisa kuzuia mashambulizi ya Houth dhidi ya meli zenye mafungamano na Uiengereza,marekani na Israel na kupelekea kupigwa kila siku.Meli ya mwisho kupigwa ni hapo juzi ambapo meli moja inayomilikiwa na shirika la Uiengereza iliharibiwa vibaya na mabaharia wake kulazimika kuikimbia ili kujiokoa
US admiral says the fight against the Houthis in the Red Sea is the largest battle the Navy's fought since World War II