Vita vinapiganwa nyumbani lakini Mfalme Abdullah aenda kulia Washington ili visimamishwe bila kurusha hata ngumi moja

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,192
10,928
Kila vita vya Gaza vinavyokuwa vikali na kuzidi kuangamiza watu na unafiki wa nchi nyingi duniani unazidi kudhihirika.

Sauti za kutetea zimekuwa zikisikika sana kutoka Ulaya na Marekani ijapokuwa zina lengo la kuvuta muda Israel afanye anavyotaka bila kuzuiwa.

Unafiki unaosikitisha zaidi ni ule wa nchi za kiarabu jirani na Gaza hasa Jordan na Misri. Wakati wana uwezo wa kuzuia ukatili huo tena unaofanywa kwa ndugu zao, wao ama wamekaa kimya au wamekuwa wakifanya vitu vya kichekesho vinavyokaribia vya kishoga.

Mfalme Abdallah muda kama huu ametoka maelfu ya kilomita kwenda Ikulu ya Marekani yeye na familia yake kuomba Israel isitishe vita na wasipige Rafah.

1707884005831.png

Biden and Jordanian king warn about planned Israeli invasion of Rafah

 
Kweki warabu wana roho mbaya sana.

Yaani hata kupokea Wakimbizi tu?

Mbona wao wamekimbilia Wengi Ulaya na Marekani?

Wanajua kulia lia tu hawana Utu wa kusaidia wakimbizi.

Shekh Mwaipopo anasema hakuna watu wanafiki kama Watawala wa Kiarabu......kweli nimeamini.
 
Kila vita vya Gaza vinavyokuwa vikali na kuzidi kuangamiza watu na unafiki wa nchi nyingi duniani unazidi kudhihirika.
Sauti za kutetea zimekuwa zikisikika sana kutoka Ulaya na Marekani ijapokuwa zina lengo la kuvuta muda Israel afanye anavyotaka bila kuzuiwa.
Unafiki unaosikitisha zaidi ni ule wa nchi za kiarabu jirani na Gaza hasa Jordan na Misri.Wakati wana uwezo wa kuzuia ukatili huo tena unaofanywa kwa ndugu zao,wao ama wamekaa kimya au wamekuwa wakifanya vitu vya kichekesho vinavyokaribia vya kishoga.
Mfalme Abdallah muda kama huu ametoka maelfu ya kilomita kwenda ikulu ya Marekani yeye na familia yake kuomba Israel isitishe vita na wasipige Rafah.
View attachment 2903474

Biden and Jordanian king warn about planned Israeli invasion of Rafah

Mkuu si mnatuambia Hamas anashinda vita? Misri na Jordan waliwahi kupigana vita ambayo Israeli aliteka maeneo ya nchi hizi. Egypt alikaa mezani akaomba arudishiwe eneo la mlima Sinai. Kwa historia hii, Misri au Jordan hawatataka vita nyingine na Israeli. Vita ya Gaza isikidanganye, hapo Israeli anapiga kwa ustaarabu, kwa kulinda raia.
Ikiwa ni vita proper, ndio utaona vita ya kweli ya Israeli, huyo hata Waarabu wakiungana bado hawamuwezi, ana super nuclear ya kuchoma Middle East yote.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu si mnatuambia Hamas anashinda vita? Misri na Jordan waliwahi kupigana vita ambayo Israeli aliteka maeneo ya nchi hizi. Egypt alikaa mezani akaomba arudishiwe eneo la mlima Sinai. Kwa historia hii, Misri au Jordan hawatataka vita nyingine na Israeli. Vita ya Gaza isikidanganye, hapo Israeli anapiga kwa ustaarabu, kwa kulinda raia.
Ikiwa ni vita proper, ndio utaona vita ya kweli ya Israeli, huyo hata Waarabu wakiungana bado hawamuwezi, ana super nuclear ya kuchoma Middle East yote.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Akikusoma miss JF umekwisha.Yeye anatueleza kwamba Hamas wameshashinda vita hiyo.Ni muda tu watatangazwa washindi.Kabla haujatafakari hayo,atakuuliza kama shuleni ulienda kusomea ujinga kwa umahiri!
 
Anasema Dini Haipiganiwi......dini ina elimishwa watu wenyewe wanaipenda.
 
Kila vita vya Gaza vinavyokuwa vikali na kuzidi kuangamiza watu na unafiki wa nchi nyingi duniani unazidi kudhihirika.

Sauti za kutetea zimekuwa zikisikika sana kutoka Ulaya na Marekani ijapokuwa zina lengo la kuvuta muda Israel afanye anavyotaka bila kuzuiwa.

Unafiki unaosikitisha zaidi ni ule wa nchi za kiarabu jirani na Gaza hasa Jordan na Misri. Wakati wana uwezo wa kuzuia ukatili huo tena unaofanywa kwa ndugu zao, wao ama wamekaa kimya au wamekuwa wakifanya vitu vya kichekesho vinavyokaribia vya kishoga.

Mfalme Abdallah muda kama huu ametoka maelfu ya kilomita kwenda Ikulu ya Marekani yeye na familia yake kuomba Israel isitishe vita na wasipige Rafah.

View attachment 2903474

Biden and Jordanian king warn about planned Israeli invasion of Rafah

Si kweli. Ngoja niwaite wenzangu
Malaria 2 na FaizaFoxy na wale wengine wawili njooni hapa muelezee kwa kina jinsi ambavyo hali ipo huko Gaza. Huyu jamaa simwelewi.
 
Kweki warabu wana roho mbaya sana.

Yaani hata kupokea Wakimbizi tu?
Miaka ya nyuma Lebanon, Jordan, Misri na Syria walipokea wakimbizi toka Palestina.
Lakini baada ya muda hawa watu walianzisha vikundi vya kigaidi ndani ya Nchi hizo na madhara yalikuwa makubwa sana!
Lebanon ndio hawa Hizbollah waliiteka Nchi!
Misri walianzisha vikundi vya kigadi kaskazini ya nchi na viliisumbua sana Misri!
Jordan hivyohivyo hadi waliomba msaada Israel ili kuwamaliza!
 
Miaka ya nyuma Lebanon, Jordan, Misri na Syria walipokea wakimbizi toka Palestina.
Lakini baada ya muda hawa watu walianzisha vikundi vya kigaidi ndani ya Nchi hizo na madhara yalikuwa makubwa sana!
Lebanon ndio hawa Hizbollah waliiteka Nchi!
Misri walianzisha vikundi vya kigadi kaskazini ya nchi na viliisumbua sana Misri!
Jordan hivyohivyo hadi waliomba msaada Israel ili kuwamaliza!
Walinyea mkono ulio walisha ngoja wapokee vipigo
 
Kila vita vya Gaza vinavyokuwa vikali na kuzidi kuangamiza watu na unafiki wa nchi nyingi duniani unazidi kudhihirika.

Sauti za kutetea zimekuwa zikisikika sana kutoka Ulaya na Marekani ijapokuwa zina lengo la kuvuta muda Israel afanye anavyotaka bila kuzuiwa.

Unafiki unaosikitisha zaidi ni ule wa nchi za kiarabu jirani na Gaza hasa Jordan na Misri. Wakati wana uwezo wa kuzuia ukatili huo tena unaofanywa kwa ndugu zao, wao ama wamekaa kimya au wamekuwa wakifanya vitu vya kichekesho vinavyokaribia vya kishoga.

Mfalme Abdallah muda kama huu ametoka maelfu ya kilomita kwenda Ikulu ya Marekani yeye na familia yake kuomba Israel isitishe vita na wasipige Rafah.

View attachment 2903474

Biden and Jordanian king warn about planned Israeli invasion of Rafah

Sijui zile silaha analimbikiza za nini
 
Back
Top Bottom