ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 397
- 1,394
Kwa Mara ya kwanza mabomu ya nuclear yalitumika mwaka 1945 pale Hiroshima na Nagasaki
Athali zake zilikuwa kubwa sana. Watu walikufa, miundombinu iliharibika.
Lakini cha ajabu, pamoja na madhara makubwa wa haya mabomu, wanadamu wameendelea kuyatengeneza na kuyaboresha
Haya mabomu hayatengenezwi kwa bahati mbaya, IPO siku yatatumika. Tutashuhudia dunia ikiharibika mikononi mwetu.
Vita za nuclear zitaleta athali kubwa sana ulimwenguni. Kutatokea uharibifu mkubwa sana duniani.
Tusishabikie Vita, kuna hatari kubwa sana mbeleni.
Athali zake zilikuwa kubwa sana. Watu walikufa, miundombinu iliharibika.
Lakini cha ajabu, pamoja na madhara makubwa wa haya mabomu, wanadamu wameendelea kuyatengeneza na kuyaboresha
Haya mabomu hayatengenezwi kwa bahati mbaya, IPO siku yatatumika. Tutashuhudia dunia ikiharibika mikononi mwetu.
Vita za nuclear zitaleta athali kubwa sana ulimwenguni. Kutatokea uharibifu mkubwa sana duniani.
Tusishabikie Vita, kuna hatari kubwa sana mbeleni.