vijana

  1. Z

    JamiiForums Tanzania Kufungua vyuo ni kuwajaribia vijana wetu na kuwamaliza waalimu vyuoni

    Kama kweli Rais kadhamiria kufungua vyuo bila kuangalia hali halisi ya ugonjwa huu, basi waalimu vyuoni jiandaeni. Taarifa tunazofahamu ni kwamba Vijana wanapambana na ugonjwa huu vizuri zaidi kuliko wazee. Madarasa ya vyuo vyetu ni kama kambi za wakimbizi. wanafunzi hujaa hadi pomoni na...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Poleni Rais Magufuli na KUB Mbowe kwa vijana wenu kupata maambukizi ya Covid 19, Mungu ni mwema amewaponya

    Namshukuru Mungu kwa ushuhuda wa uponyaji kwa mtoto wa Rais Magufuli kadhalika mtoto wa Kiongozi wa Upinzani Bungeni mh Mbowe. Kwa mujibu wa Rais Magufuli mtoto wake alitibiwa nyumbani kwa tiba zetu za asili ikiwemo kula malimao, tangawizi na kujifukiza na Mungu wa mbinguni amemponya. Naye...
  3. Influenza

    JamiiForums Tanzania Baada ya TAKUKURU kusema itawahoji TFF kuhusu Bilioni 1 ya AFCON ya vijana iliyotolewa na Rais Magufuli, TFF yasema haijawahi kupokea fedha hizo

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetolea ufafanuzi kuhus Tsh. Bilioni 1 zilizotolewa na Rais Magufuli kwa ajili ya fainali za AFCON kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 zilizofanyika mwaka 2019 Katibu Mkuu wa TFF, Kidai Wilfred amesema fedha hizo hazikuingia kwenye akaunti za fedha...
  4. technically

    JamiiForums Tanzania CCM Mwisho wake kuwepo kama chama tawala ni 2020

    Sitaki kusema mengi kwanini kinaenda kufa ila hoja kubwa ni toka baba wa taifa afariki CCM kimekuwa kikitawala kwa ujanja ujanja na propaganda Kikubwa zaidi hawamu ya 5 imekizika kwa kupuuza wananchi wanataka nini kiufupi CCM haifanyii kazi matakwa ya watanzania walio wengi ili swala linaenda...
  5. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Kutokusoma vizuri tangazo la kazi kumesababisha vijana wengi kukosa kazi huku wana sifa za kupata kazi

    Ni takribani miaka 3 hivi nimekuwa nikiwasaidia vijana au ndugu wa karibu kuomba kazi katika taasisi mbalimbali hasa za umma. Nimejifunza mengi sana, nimeona challenges nyingi ila leo nitaongelea jambo moja tu. Jambo hilo ni kusoma tangazo la kazi kwa umakini na kulielewa. Wengi wakikuta...
  6. E

    JamiiForums Tanzania GE2020 Naongea na vijana wenzangu

    Niliandika makala hii 2017 mnasemaje kuelekea uchaguzi 2020 POLENI SANA VIJANA, MNAKUWA MAJESHI YA MINYUKANO YA KISIASA MWISHO INAKUWA AIBU KWENU. Poleni sana vijana wa ACT - WAZALENDO mliomtukana matusi yote Mh Mbowe kisa mapenzi makubwa mliyonayo kwa Mh Zitto pengine hamkujua wanasiasa...
  7. Latrice

    JamiiForums Tanzania Ugumu wa maisha usababisha vijana tufanye jinai

    Habarini ny'ote. Nawaletea salam changamfu kabisa kutoka Monroe. Ukiwa huna hela unaweza kufanya chochote, sehemu yoyote na kwa wakati wowote ili tu uipate. Kuna kipindi nilikosa hata mia ya kununulia bange na kuomba siwezi, kwa kuwa tuliwahi kuishi Geita nikapawaza GGM huu ni mgodi nikaenda...
  8. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Mama wa miaka 58, adaiwa kubakwa na vijana wawili

    Polisi wilayani Serengeti mkoani Mara wamemkamata Kumari Mongita (23) mmoja kati ya wawili wanaodaiwa kumbaka mama mwenye miaka 58, mkazi wa Miseke ambaye amelazwa hospitali Teule ya Nyerere kwa ajili ya matibabu. Tukio hilo linadaiwa kutokea Aprili 6 usiku katika kitongoji cha Senta wakati...
  9. marco polo jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali ifungie tovuti zote za pichani za ngono ili kuokoa vijana wetu

    Wakuu. Nimependa leo tujadili suala hili, mitandao ya ngono inaharibu vijana wetu pamoja na utamaduni wetu kama waafrika. Ilikuwa siyo kawaida kuona picha za faragha kwani ilifahamika ni jambo la aibu kuona na pia kulikuwa na hofu fulani. Zamani kidogo kuona picha hizi ilikuwa lazima ulipie...
  10. Empty containers Tanzania

    JamiiForums Tanzania Sasa ni zamu ya Vijana kushika nafasi za kisiasa

    Kwenye mada yangu Baada yakufanya tathmini nimegundua, safari hii wabunge na madiwani watakuwa ni vijana kwa 90%. Hii imetokana na ukweli kwamba Tanzania watu wamezichoka siasa za kibaguzi.... zakulishana sumu. Nipende kuwaambia wazee wote, kuwa watuache sasa hivi ni wakati wa vijana . Hii...
  11. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Kuleta utofauti kuwe shabaha kwa vijana

    Mafanikio au maendeleo mazuri sio yale yanayo mgusa mtu mmoja au kundi la watu wachache bali ni yale yanayo wagusa watu wengi na yanaleta utofauti kwenye jamii na Dunia nzima, Mapambano yawe katika kuleta utofauti.
  12. Nyendo

    JamiiForums Tanzania 'Likes na comments' kwenye mitandao ya kijamii imekuwa ni chanzo cha furaha au mfadhaiko kwa vijana wengi. Je, unalizungumziaje hili?

    Mitandao ya kijamii kwa sasa imekuwa sehemu ya maisha ya watu. Baadhi yao watumiaji hao wamepata uraibu wa hali ya juu kiasi ambacho bora akose chakula lakini awe na bando la kuingia kwenye mitandao ya kijamii (hawa ndio wazee wa stress sasa). Mitandao ya kijamii watu wamekuwa wakitumia...
  13. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Tume ya Ushindani yaonya wanaoficha, kupandisha bei vifaa vya kujikinga na corona

    Tume ya Ushindani nchini (FCC), imewaonya waingizaji, wazalishaji, wasambazaji na wauzaji wa jumla na rejareja wa bidhaa za kujikinga na vizrusi vya corona vikiwamo barakoa (mask), vitakasa mikono (sanitizer) na vizuia mikono (gloves) wanaoficha bidhaa hizo kwa lengo la kupandisha bei. Aidha...
  14. Influenza

    JamiiForums Tanzania Abdul Nondo ashinda nafasi ya Uenyekiti Ngome ya Vijana wa Chama cha ACT-Wazalendo

    UCHAGUZI WA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO MWENYEKITI Mgombea aliyeshinda nafasi ya Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana ACT Wazalendo Taifa ni Abdul Omar Nondo. Mnamo mwaka 2018 Nondo, aliyekuwa Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi nchini Tanzania wakati akiwa Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam kwa...
  15. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: BAVICHA yawaapisha vijana wa Sumbawanga kiapo cha utayari

    Kiapo kiliongozwa na Twaha Mwaipaya , kijana ambaye nyota yake ya uhamasishaji kwa muda mfupi aliopewa madaraka inatisha mno !
  16. Gily Gru

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Kuhusu mama chui na watoto wake

    Mama Chui akizaa watoto wake anawalea wakishakua anawaacha anaenda porini anakaa kama juma hivi akirudi anawatisha watoto wake. Yale watoto walioshtuka wakakimbia hawawi chui tena ila wale watoto waliomtambua mama yao wanabaki na mama yao na wanakuwa chui (katika uhalisia wake). Kwa sisi wachaga...
  17. Superbug

    JamiiForums Tanzania Ole Sabaya anawafundisha vijana wengine nchini kwamba siasa bora ni siasa za kimafia

    Mh Rais magufuli mfano mbaya anaoutoa SABAYA kwa vijana wengine nchini huku ukiangalia bila kumchukulia hatua ni Jambo baya Sana. SABAYA anatenda Mambo ya kihuni hachukuliwi hatua siku vijana wengine WAKIMWELEWA itakuwa balaa kubwa Sana. Wakati nyerere aliwa groom wanasiasa Bora na kuliachia...
  18. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Vijana 11 wakamatwa kwa utapeli wa 'ile pesa tuma kwenye namba hii'

    JESHI la Polisi mkoani Mbeya, linawashikilia vijana 11 wenye umri wa kati ya miaka 20 na 25 kwa tuhuma za kuwatapeli wananchi kupitia Mtandao wa Facebook kwa kutumia majina ya viongozi wa Serikali na wasanii maarufu. Aidha vijana hao wanadaiwa kuwa walikuwa wanashirikiana na mawakala wa...
  19. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Video: Vijana wa CCM Wakitwangana kugombea posho

    Hii ndio sababu kubwa ya vijana hawa kutokwa povu hapa jf hata kwa mambo yasiyo na mashiko, jionee mwenyewe.
  20. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Vijana wengi wako kwenye hatari ya kupata ajali za barabarani zinazochangiwa na uendeshaji wa bodaboda na bajaj

    Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO), watoto kuanzia miaka mitano hadi 29, wako katika hatari zaidi kutokana na vijana kujikita katika uendeshaji wa bodaboda na bajaji. Pia takwimu za WHO zinaonyesha chanzo cha vifo namba nane duniani kinatokana na ajali za barabarani...
Back
Top Bottom