Bila wingi wa makundi ya wasanii atapunguza ushawishi.Japo wapo watu wanafuata burudani za wasanii hawafuati siasa za mtayarishaji.
Na chadema walisema mbowe katekwa kapigwa mitama miwili tuu..mbona CCM walisema Deo Mwanyika ni mhujumu uchumi?
..mbona Kamati Kuu imempitisha kugombea ubunge?
Chadema walisema nyalandu ni fisadi anatumia vibaya hela za wizara..Na ccm walisema Lowassa amejisaidia haja kubwa jukwaani.
uongo..ccm walisema Chenge fisadi amesaini mikataba mibovu.
Bashiru hakulijua hilo tokea mwanzo ndio maana alikurupuka tu kukataa wasanii kwenye kampeni. Sasa angalia nguvu itakayo tumika mwaka huu kuwawezesha wasanii kufika adi vijijini kuhamasisha watu kuhudhuria mikutano ya ccm.CCM wakifanya mkutano bila kina Diamond watajikuta wapo wawili tu mkutanoni.