Nikikumba wakati nikiwa kwenye 20s na early 30s, nilikuwa na uwezo Mkubwa Sana wa kupiga game. Ingawa nilioa nikiwa na 30, nilikuwa nipo fit kitandani. Mola kanijaalia nimepata na watoto 4, sasa. Now nipo kwenye 40, naona kabisa uwezo wangu umeshuka sana, ingawa bado napigana lakini sio kama mwanzo.
Hoja yangu ni kwamba, vijana oeni mapema, muweze ku-enjoy sex katika ujana wenu ,na wake wa ujana wenu. Itafika kipindi utatamani ukae kifuani Kwa mpenzi wako angalau dakika 30, na hutaweza hata dakika 10, na bado ukiwa unamtamani mpenzi wako, na matokeo yake ndio utumiaji wa vumbi la mkongo na takataka nyingine kama hizo zinaanza. I miss my old days.
Hoja yangu ni kwamba, vijana oeni mapema, muweze ku-enjoy sex katika ujana wenu ,na wake wa ujana wenu. Itafika kipindi utatamani ukae kifuani Kwa mpenzi wako angalau dakika 30, na hutaweza hata dakika 10, na bado ukiwa unamtamani mpenzi wako, na matokeo yake ndio utumiaji wa vumbi la mkongo na takataka nyingine kama hizo zinaanza. I miss my old days.