vijana

  1. A

    JamiiForums Tanzania Nahisi hii ni moja ya sababu ya sisi vijana kulalamika kuhusu ugumu wa maisha humu mtandaoni

    Nina imani wengi wetu humu JamiiForums tumetoka kwenye familia za kawaida, nikimaanisha kuwa tumeishi na wazazi wetu kwenye nyumba za tofali hata kama zilikua za kupanga, tumekua tukiwa na uhakika wa Milo mitatu kwa siku, kila siku, na ada ya shule haikusumbua sana wazazi. Vijana wengi tumeishi...
  2. Clever505

    JamiiForums Tanzania GE2020 Upinzani kwenye kampeni wazunguke na vijijini, vinginevyo Urais watausikia na kuhisi wanaibiwa kura

    Mimi ni Mwananchi niishie Dodoma katika walaya ya Mpwapwa, nakaa kijijini naweza kupaita porini kabisa. Tumeishi miaka yote bila huduma muhimu kama maji na umeme ambapo maji tumekuwa tukiyapata mbali visimani. Tangu aingie madarakani JPM ameweza kusimamia vizuri ambapo umeme pamoja na maji vipo...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Vijana wafukua sarafu za dhahabu za miaka 1,100 Israel za enzi ya Abbasid

    Sarafu za dhahabu zilizozikwa katika chungu chenye uzito wa gramu 845 Vijana waliojitolea kuchimba katika hazina ya kiakiolojia ya Israel wamebaini sarafu 425 ambazo zilikuwa zimezikwa kwenye chungu cha udongo kwa miaka 1,100. Pesa nyingi zilizopatikana ni za wakati wa kipindi cha awali cha...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kuna vijana wanasomeshwa kwa shida, wakiwa wakubwa wanaajiriwa na Wanasiasa kuwamaliza watu wasio na hatia

    Wanaochoma ofisi za vyama tupo nao nyumba za ibada. Wanaovamia nyumba za wagombea kusaka fomu tupo nao kwenye nyumba za ibada. Wanaowatuma vijana wafanye vurugu tupo nao kwenye nyumba za ibada. Wanaodhulumu haki kwa kuwapa vijana wasio na ajira rushwa tupo nao kwenye nyumba za ibada...
  5. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana oeni mapema

    Nikikumba wakati nikiwa kwenye 20s na early 30s, nilikuwa na uwezo Mkubwa Sana wa kupiga game. Ingawa nilioa nikiwa na 30, nilikuwa nipo fit kitandani. Mola kanijaalia nimepata na watoto 4, sasa. Now nipo kwenye 40, naona kabisa uwezo wangu umeshuka sana, ingawa bado napigana lakini sio kama...
  6. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Nasikitika kuona vijana na wazazi wengi hawajui kutambua fursa. Hali hii husababisha vijana wengi kuendelea kuwa tegemezi

    Habari wakuu! Tukubali tukatae lazima tujue kuwa dunia inakwenda mbele, hairudi nyuma. Hivyo basi style za mapigano ya maisha lazima zibadilike. Wazee wengi bado hawajajua hili. Hivyo huendesha mambo yawahusuyo vijana wao kizamanizamani. Na vijana nao wanakuja kuamka huku wameshamaliza chuo...
  7. Hekima94

    JamiiForums Tanzania Vijana tuijenge Afrika yetu

    Habari Wakuu, Kwanza nitangulize shukrani zangu kwa MUNGU muweza wa yote kwa kuwa hapa muda huu na kushare na nyinyi mawazo haya. Vijana wenzangu sisi ndio tupo wengi katika nchi zetu hususani Tanzania hivyo basi kama tukiamua kuchukua hatua yoyote ile ya kimaendeleo tunaweza kufanikiwa sana...
  8. PAZIA 3

    JamiiForums Tanzania GE2020 Ushauri wangu kwa vijana na wazee wetu, tuchagueni upinzani tuone watafanya nini

    Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri...
  9. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Akili kubwa - vijana Wakenya waibuka washindi wa tuzo la "Cisco Problem Solver Challenge 2020"

    Ipo siku tutaeleweka tu, kwa mwendo huu huu, hongera kwa kizazi chetu cha kesho, ni wazi tunapokeza taifa kwa vijana walio tayari kufanya makubwa huko mbele. ======= Savanna Circuit Tech company founders Percy Lemtukei (right) and Emmastella Gakuo (left). A Kenyan company, Savanna Circuit...
  10. lee Vladimir cleef

    JamiiForums Tanzania Vijana wa CCM ya Sasa ni hasara kwa taifa na chama chao, hawawezi mijadala

    Vijana Hawa wa kizazi hiki wa CCM Ni tofauti kubwa Sana na vijana wa wakati ule,enzi za akina Mwalimu,Malechela,Kikwete,n.k. Hawa walikua na hoja kwenye mijadala mbalimbali na hata ya Kimataifa. Tanzania ikiwakilishwa na vijana wa wakati huo ilikonga nyoyo za washiriki wa makongamano Kimataifa ...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Mfahamu Henry J. Manyama mmoja wa vijana walionekana kumpinga Tundu Lissu wilaya ya Hai

    Huyu ni mzaliwa wa Bukombe na Mkazi wa Mwanza, alipata mafunzo ya Jeshi la kujenga Taifa Kigoma na baadaye kuajiriwa serikalini Mwaka 2017. Kituo Cha kazi ni Dodoma, hana makazi Hai, anaonekana kwenye clip akiwa nyuma ya mwongoza maandamano. Sambamba naye yupo sister Blandina Lucian Kalinzi...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Sifa ya vijana wa Kitanzania

    B. Kwa vijana wakiume 1. Yuko tayari kubishana na hata kupigana kisa Simba na Yanga 2. Yuko tayari kubishana na kupigana hata kisa Daimond na Alikiba 3. Yuko tayari kulala njaa aende kwenye fiesta akaambiwe uko tayari, nyoosha mikono juu, mara kushoto kulia etc. 4. Yuko tayari kumuomba mtu hela...
  13. Idd Ninga

    JamiiForums Tanzania IYD-Siku ya vijana duniani,Arusha

    Siku ya vijana kitaifa,maadhimisho yanaendelea katika ukumbi wa mkuu wa wilaya Arusha.
  14. Rebeca 83

    JamiiForums Tanzania Tufanye nini vijana waone kilimo can be a proffession too?

    Hello JF, Nimeona trends huku mitandaoni kuhusu kilimo. Nyingi zinaonyesha, vijana 's preference of white collar jobs. Vijana wengi wana negative attitude towards Kilimo. This is sad, because; Vijana ndio wenye nguvu za kilimo sio wazee. I just think, compared to wazee, vijana have got soo...
  15. P

    JamiiForums Tanzania UDSM hii mmewakatisha na kupunguza ari ya kufanya kazi kwa hao vijana wenu

    UDSM mlitangaza nafasi kwa watumishi wa umma kuhamia, na katika tangazo lenu mliweka mpaka scale za mishahara kwa ambao watafanikiwa kupata nafasi hizo. Mdogo wangu ni mmoja wa watu waliofanikiwa kuomba nafasi hizo na kufanikiwa kupata! ana siku kadhaa sasa toka ameanza kazi hapo...
  16. N

    JamiiForums Tanzania Kikao cha Baraza la Vijanawa CCM kinaendelea

    Nipo naangalia uchaguzi wa wabunge vijana Viti Maalum Chama cha Mapinduzi. Ushauri wangu, kwa kuwa maana ya vijana ni vijana wa kike na wa kiume, basi wagombea wa nafasi za ubunge ziwahusishe vijana wote wa kike na wa kiume kuwakilisha wenzao. Hii ni kutokana tayari kuna nafasi za viti maalum...
  17. Q

    JamiiForums Tanzania GE2020 Joseph Selasini, aviangukia vyama kuwasamehe vijana walioshindwa kura za maoni baada ya kuvihama vyama vyao

    Mbunge wa Rombo aliyemaliza muda wake Joseph Selasini, ameviomba vyama vyote nchini kuhakikisha vinawapokea vijana wote waliohama vyao vyao na kuhamia vyama vingine lakini wakashindwa kwenye kura za maoni kwa kuwa walishaonesha wanao uwezo wa kufanya kazi. Selasini ametoa kauli hiyo hii leo...
  18. Kennedy

    JamiiForums Tanzania GE2020 Dkt. Magufuli achukua fomu ya kuwania nafasi ya Urais wa Tanzania Ofisi za NEC

    Kumekucha salama, Leo tarehe 06.08.2020 mgombea nafasi ya kazi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa Chama cha Mapinduzi, atachukua fomu kwenye ofisi ya NEC makao makuu ya Dodoma. Baada ya kuchukua fomu ataongea na wananchi pia wanachama wa CCM kwenye ukumbi wa White House...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Vijana turidhike na kazi/nafasi tulizo nazo

    Habari zenu Wana JF Hivi karibuni nilimsikia Mhe. Rais akisema Vijana wanapashwa kuridhika na nafasi walizo nazo. Binafsi nilihisi analenga watendaji wake (viongozi) kumbe hapana hii kauli inalenga mpaka watu wa kawaida tu. Ninaye jamaa namfahamu yeye ni mtumishi wa TBS lakini Cha kushangaza...
  20. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania CCM "wakiharibu" wimbo wa Taifa: Jicho la Mutungi lina makengeza?

    Katibu Mkuu wa BAVICHA Nusrat Hanje na mratibu wa uhamasishaji taifa Twaha Mwaipaya wapo gerezani yapata mwezi sasa kwa kile kinachodaiwa kuuharibu wimbo wa taifa kwa kusema "Mungu ibariki Chadema, wabariki viongozi wake". Msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi nae kakipa onyo Chadema kwamba...
Back
Top Bottom