Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Jana Spika Job Ndugai kawadharau tena eti jiajirini wakati yeye ameajiriwa tena mpaka aliwahi kumpiga fimbo mpinzani wake ili aajiriwe. maana yake hata yeye anaogopa kujiajiri.
Poleni kwa sababu hata Serikali haina mpango kabisa wa kuwaajiri tofauti na kipindi cha JK. Heri mfe wote ili miradi yake iendelee kujengwa.
Huyu Rais hana huruma hata kidogo kwa vijana yeye anapenda international prides tu.
Nimesikia hata wale waliojiajiri kutengeza simu mtaani wameambiwa waache hiyo ni kazi ya watu wa VETA na DIT.
Nchi hii sasa hivi imekuwa ngumu kuishi na soon tutaanza kukimbia nchi kama wakimbizi.
Hata zile ajira za ualimu ambapo kiukweli walioajiriwa hawazidi elfu moja, nasikia vimemo ndio vilitawala na mostly UVCCM au wasukuma ndo wamelamba dume.
Poleni sana
Poleni kwa sababu hata Serikali haina mpango kabisa wa kuwaajiri tofauti na kipindi cha JK. Heri mfe wote ili miradi yake iendelee kujengwa.
Huyu Rais hana huruma hata kidogo kwa vijana yeye anapenda international prides tu.
Nimesikia hata wale waliojiajiri kutengeza simu mtaani wameambiwa waache hiyo ni kazi ya watu wa VETA na DIT.
Nchi hii sasa hivi imekuwa ngumu kuishi na soon tutaanza kukimbia nchi kama wakimbizi.
Hata zile ajira za ualimu ambapo kiukweli walioajiriwa hawazidi elfu moja, nasikia vimemo ndio vilitawala na mostly UVCCM au wasukuma ndo wamelamba dume.
Poleni sana