Inauma, inauma Sana! Umeanza kuipenda CCM tangu utoto, ukashiriki chipukizi kisha ukaingia UVCCM.
Umesaka mpk vyeti vya elimu ya juu ili uwe na sifa zote za kupewa nafasi ndani ya chama ulichokipambania tangu utoto wako lkn unaishia kusugua benchi kwenye korido za Lumumba.
Kuna siku jpm aliwahi kumpa sifa msomi (wa phd) fulani ndani ya ccm kwamba amekuwa akilipwa laki 5 kwa miaka kibao akisubiri uteuzi.
Lkn vijana toka upinzani wamekuwa wakipiga purukushani za miaka michache tu kisha huonwa na kupewa vyeo.
Ndiyo maana wakinga wanasema:- Joining opposition wing is a short, simple and quick method of securing a post in the government led by CCM.
Sonje wa Songwe alilalamika hadharani juu ya hili. Hoja yake ikazimwa na JPM halafu wanaccm kindakindaki mkaufayata.
Mifano hii hapa:
Shonza, Gekul, Waitara, Silinde, Dr. Slaa, KAFULILA, Mkumbo, Katambi, Mghwira, Mtatiro, Mollel, na wengine wengi Sana.
Sasa wewe gamba endelea kukodoa macho huko CCM. Wenzako wameanzia upinzani ili soon walambe vyeo.
Umesaka mpk vyeti vya elimu ya juu ili uwe na sifa zote za kupewa nafasi ndani ya chama ulichokipambania tangu utoto wako lkn unaishia kusugua benchi kwenye korido za Lumumba.
Kuna siku jpm aliwahi kumpa sifa msomi (wa phd) fulani ndani ya ccm kwamba amekuwa akilipwa laki 5 kwa miaka kibao akisubiri uteuzi.
Lkn vijana toka upinzani wamekuwa wakipiga purukushani za miaka michache tu kisha huonwa na kupewa vyeo.
Ndiyo maana wakinga wanasema:- Joining opposition wing is a short, simple and quick method of securing a post in the government led by CCM.
Sonje wa Songwe alilalamika hadharani juu ya hili. Hoja yake ikazimwa na JPM halafu wanaccm kindakindaki mkaufayata.
Mifano hii hapa:
Shonza, Gekul, Waitara, Silinde, Dr. Slaa, KAFULILA, Mkumbo, Katambi, Mghwira, Mtatiro, Mollel, na wengine wengi Sana.
Sasa wewe gamba endelea kukodoa macho huko CCM. Wenzako wameanzia upinzani ili soon walambe vyeo.