KUTOKANA na serikali kutenga Sh bilioni 179 kwa ajili ya kusambaza umeme nchini, zaidi ya vitongoji 4,000 mkoani Pwani ambavyo havijapata huduma hiyo vitanufaika kupitia mradi wa ujazilizi.
Hayo yalisemwa na Naibu Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, alipokuwa akizungumza na wananchi wa kijiji cha...