Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,270
Enzi za Tanesco kuwa monopoly msambazaji wa umeme zimepitwa na wakati. Huu ulikuwa mfumo wa Ujamaa, enzi za collectiveness. Hakukuwa na ushindani wa kibiashara.
Makampuni mengine yakaribishwe na kupewa zabuni ya kusambaza umeme. Wananchi wapewe uhuru wa kuhama kwa supplier mwenye huduma nzuri na bei bafuni.
Makampu hayo yapate mgao kutoka kwenye gridi ya taifa na walipe kodi kwa serikali.
Matatizo ya umeme kukatika yatakwisha. Hakuna atakaetaka kupoteza wateja.
Makampuni mengine yakaribishwe na kupewa zabuni ya kusambaza umeme. Wananchi wapewe uhuru wa kuhama kwa supplier mwenye huduma nzuri na bei bafuni.
Makampu hayo yapate mgao kutoka kwenye gridi ya taifa na walipe kodi kwa serikali.
Matatizo ya umeme kukatika yatakwisha. Hakuna atakaetaka kupoteza wateja.