'Timu ya Taifa' ya Wahandisi katika mradi wa Umeme Rufiji

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,031
23,822
Mhandisi Robert Kabudi mwenye miaka 20 ya kusimamia miradi mikubwa ya ujenzi nje ya Tanzania pamoja na wahandisi wengine mahiri wazalendo wapo ktk mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umeme la Rufiji linatotegemewa kuzalisha 2115 MW wa umeme Tanzania. Mhandisi Robert anaitaja timu hiyo ya watu 21, kikosi anacho kibainisha kama timu ya kutizamwa duniani.



Timu hiyo ya wahandisi wa kiTanzania walio na ujuzikazi kwa vitendo, kuna mhandisi aliyepata kusimamia mradi wa kiwanja cha ndege cha Dubai kilichokuwa na bajeti ya zaidi ya US$ 3.5Bn. Miradi mikubwa ya Qatar, Abu Dhabi, Botswana , World Cup Africa Kusini wachezaji wake waTanzania wazalendo walishiriki ktk ujenzi huko ughaibuni.

Wahandisi hao chini ya kitengo cha Tanroads Engineering Consultanting Unit TECU wana kiu ya kuongeza CV zao ktk mradi huu wa Rufiji wenye bajeti kubwa kuliko iliyotumika ktk ujenzi wa Uwanja Mkubwa Mpya wa Ndege Dubai na hivyo si tu kuitambulusha Tanzania bali hata wahandisi wazalendo kwa ulimwengu kukitokea mradi wowote mkubwa nje ya Tanzania.
 
Mimi ni mara ya kwanza kuona wataalamu wa kiTanzania wakija na stori za mchango wao ughaibuni au Tanzania na kuamua kutueleza.

Maana wasomi wengi wa kiTanzania iwe matabibu, wahandisi, wafamasia, marubani, waalimu, mabaharia n.k huwa hawataki ku share experience ya kazi zao ili ku inspire vijana kujiamini. Stories za umahiri kama hizi hakuna na kupelekea kudharau mfano wahandisi vipi hawajengi au kusimamia miradi mikubwa ya kidunia au ya hapa nchini kwa umahiri.

Mchezaji kiungo wa ' Timu ya Taifa' ya wahandisi JNHPP amenipa historia kubwa kuhusu usomi wa waTanzania ambao wengi hatuufahamu.
 
Mhandisi Robert Kabudi mwenye miaka 20 ya kusimamia miradi mikubwa ya ujenzi nje ya Tanzania pamoja na wahandisi wengine mahiri wazalendo wapo ktk mradi wa ujenzi wa Bwawa la Umeme la Rufiji linatotegemewa kuzalisha 2115 MW wa umeme Tanzania. Mhandisi Robert anaitaja timu hiyo ya watu 21, kikosi anacho kibainisha kama timu ya kutizamwa duniani.



Timu hiyo ya wahandisi wa kiTanzania walio na ujuzikazi kwa vitendo, kuna mhandisi aliyepata kusimamia mradi wa kiwanja cha ndege cha Dubai kilichokuwa na bajeti ya zaidi ya US$ 3.5Bn. Miradi mikubwa ya Qatar, Abu Dhabi, Botswana , World Cup Africa Kusini wachezaji wake waTanzania wazalendo walishiriki ktk ujenzi huko ughaibuni.

Wahandisi hao chini ya kitengo cha Tanroads Reengineering Consultanting Unit TECU wana kiu ya kuongeza CV zao ktk mradi huu wa Rufiji wenye bajeti kubwa kuliko iliyotumika ktk ujenzi wa Uwanja Mkubwa Mpya wa Ndege Dubai na hivyo si tu kuitambulusha Tanzania bali hata wahandisi wazalendo kwa ulimwengu kukitokea mradi wowote mkubwa nje ya Tanzania.

Walisimamia kama team leaders au walikuwa sehemu ya hizo team za usimamizi?

Amandla....
 
May 23, 2020
Selous,Rufiji ,
Tanzania
Julius Nyerere Hydro Power Project | Hatua mbalimbali za utekelezaji


Source : Tanesco Yetu
 
11 Apr 2020
JNHPP | Shuhudia vifaa vya ujenzi vikipelekwa eneo la mradi kwa njia ya reli ya Tazara | Mradi wa Kufua Umeme wa JULIUS NYERERE"



Source : Tanesco Yetu
 
Tunaweza kuipenda Tanzania bila kumpenda Magufuli.
Kwa sasa yeye ndie jemedali wetu. Tunatakiwa kumpenda amefanya makuu.
Mradi huu unamanufaa makubwa sana japokuwa Act wazalendo.na Chadema waliupinga huku wakitumiwa na mabeberu.
 
1 March 2021

Ziara ya Wahariri wa vyombo vya habari Julius Nyerere Hydro Power Project a.k.a Stiegler's Gorge Rufiji


Watembelea ili kupata uwezo wa kuandaa, kuandika na kurusha habari sahihi kuhusu maendeleo ya mradi mkubwa wa umeme utakaozalisha megawatts 2100 utapokamilika. Lengo ni wananchi kuelewa kinachoendelea kwa usahihi ktk mradi huu. Mradi huo unatarajiwa kukamilika mwezi Juni 2022.
Source: TanescoYetu
 

Nawasifu sana TANESCO kwa utoaji wa taarifa - Dkt. Hassan Abbas

 
Hawa wahariri badala ya kumtafuta mwenzao kapotea mwaka wa tatu sasa, wao wanakimbilia perdiem kwenda kushangaa bwawa la kufugia samaki..
Spanner Boys wanaitwa Wahandisi wasimamizi wa Dubai International Airport, the best in the World, wanasimamia ujenzi wa Bwawa la Umeme badala ya Chato International Airport ni kichekesho kama kile cha Mabeduin wa Jangwani kujenga Bwawa la Umeme. Uwanja wa Dubai ingawa unatumika, bado unajengwa na kuna wafanyakazi wa kila lughà na kila rangi toka kote duniani lakini Msimamizi wao yuko Rufiji anasimamia ujenzi wa Bwawa la Umeme. Wakina Kabudi kwa kujikweza hawajambo!
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom