Mhariri "Daily News" sasa unatia aibu! Yapi Merzeki na mradi wa Umeme , wapi na wapi?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,327
24,209
Mezeki.jpg

Gazeti la leo 15/3/2020, front page Daily News.
Picha ni nzuri lakini ati anayejenga mradi huo ni Yapi Merzeki!!!!!!!
Mhariri naona amechok kazi.
No proof reading na anabeba tu makosa ya waandishi wake.
Hakumbuki gazeti hili la serikali linasomwa dunia nzima.
 
View attachment 1450839
Gazeti la leo 15/3/2020, front page Daily News.
Picha ni nzuri lakini ati anayejenga mradi huo ni Yapi Merzeki!!!!!!!
Mhariri naona amechok kazi.
No proof reading na anabeba tu makosa ya waandishi wake.
Hakumbuki gazeti hili la serikali linasomwa dunia nzima.
Mimi nilipoikia kwa msomaji wa magazeti asubuhi ya leo ambaye hata yeye alionekana hajui! Nikajua Moderators wa Daily News wameunganisha makampuni.
 
View attachment 1450839
Gazeti la leo 15/3/2020, front page Daily News.
Picha ni nzuri lakini ati anayejenga mradi huo ni Yapi Merzeki!!!!!!!
Mhariri naona amechok kazi.
No proof reading na anabeba tu makosa ya waandishi wake.
Hakumbuki gazeti hili la serikali linasomwa dunia nzima.
Lakini na wewe mbona umesahau ku-proof read hapo kwenye Yapi Merzeki, hariri na isomeke Yapi Merkezi.
 
Back
Top Bottom