Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,327
- 24,209
Gazeti la leo 15/3/2020, front page Daily News.
Picha ni nzuri lakini ati anayejenga mradi huo ni Yapi Merzeki!!!!!!!
Mhariri naona amechok kazi.
No proof reading na anabeba tu makosa ya waandishi wake.
Hakumbuki gazeti hili la serikali linasomwa dunia nzima.