BODI ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) inatarajia kupokea umeme wa mradi wa maporomoko ya Mto Kagera ya Rusumo, unaojengwa katika Kata Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera ifikapo mwaka 2021.
Mradi huo utakapoanza kutekelezwa, utasaidia kutatua changamoto za umeme nchini. Mradi huo...