Hapa kila mtu atataja ya kwake akisema ndio bora zaidi. Fanya window shopping soma ratings za majokofu tofauti.
Hivi hii nayo ni tetesi..??Mwanzo nilikuwa natumia super general je bado zipo sokoni
Kwa dar znapatikana maeneo gani? Je kuna fridge nzuri zaid ya super general
mkuu msaada hapa naomba brand za aina hii ya frijikuna za kisasa ambazo ni Nonfrost ambazo haiziweki mabarafu kwa ndani
Kumbe, sasa likiwa dukani utalijuaje?Kuna aina mbili za Fridge mkuu,
Kwanza kuna zile ambazo ni lazima zitoe au ziweke mabarafu kwenye kuta zake kwa ndani ili zipoze vizuri. Aina hii ya fridge inatumia umeme mwingi sana na inapotokea umeme umekatika huwa zinamwaga maji yatokanayo na kuyeyuka kwa barafu.
Pili kuna za kisasa ambazo ni Nonfrost ambazo haiziweki mabarafu kwa ndani bali zinagandisha au kupoza kilichohifadhiwa tu ndani yake mfano kama juice au maji na pia zinatumia umeme mdogo sana kwakuwa zimetengenezwa kwa mfumo wa energy saver.
Mwisho unapokuwa na Fridge ili kuitunza na kuendelea kuitumia vizuri ni muhimu sana kuwa unatumia ile nob ya kuongeza au kupunguza ubaridi wa ndani kulingana na hali ya hewa, Kuna kipindi cha joto kali na Kuna kipindi cha baridi pia. Mfano kama mtu anaetumia kwa dar anaeza akaseti kwenye no 5 na kuendelea na mtu anaetumia kwa mikoa Kama Singida Arusha au Mza anaeza akaseti kuanzi no 2, 3 na 4 na akapata kitu murua kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
HOMEBASE ni nzuri ?Hapa kila mtu atataja ya kwake akisema ndio bora zaidi. Fanya window shopping soma ratings za majokofu tofauti.
Brand hio siifahamuHOMEBASE ni nzuri ?
Hiyo watt ndio Rated input power ?Safiii mi ninayo aina ya mengch niya kwaida sio ndogo sana wala sio kubwa sana ina watts 135 yaani hata ikeshe inasave sana umeme haya nani ana friji yenye watts ndogo kama yangu aweke hapa tuone