ulaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Fahamu kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus)

    Habari! Karibu ili kujuzwa na pia kupata taarifa (masasisho) mbalimbali ya kile kinachojiri kuhusiana na kirusi cha Corona (Coronavirus) almaarufu kama "kirusi cha Wuhan" kutoka nchini China. Katika uzi huu utapata kufahamu mambo mbalimbali hususani hali ya ongezeko na ukuaji, jitihada...
  2. Superbug

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa sisi diaspora tunaoonewa wivu kisa tupo Ulaya au USA

    Kutokana na wabongo wengi kutuonea wivu sisi waishi ulaya nimeona nifungue huu uzi ili nyie mlioko nchi za maziwa makuu mje humu mumtaje mwana ulaya mmoja mkimtaka atoe uthibitisho wa yeye kuwa mbele USA au Europe. Nimegundua wabongo wengi mna wivu mtu akiwa mbele mnamchukia mtamfukunyua mpaka...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Virusi vya corona: Rais wa Madagascar Rajoelina amewashutumu wakosoaji wa dawa ya mitishamba

    Bwana Rajoelina anasema kwamba taifa la Ulaya lingekuwa limetenegenza dawa hiyo, majibu ya mataifa ya magharibu yangekuwa tofauti Rais wa Madagascar Andry Rajoelina amesema kwamba wakosoaji wa dawa ya mitishamba ambayo haijajaribiwa ambayo anaipigia debe kuwa tiba ya Covid-19 inaonyesha tabia...
  4. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Ukienda kusoma Asia, Ulaya au Amerika Mwafrika unamegewa lecture kwa kipimo

    Niliwahi kufanya kazi kwa Mkufunzi mmoja wa UDSM, yeye hakuwa mwajiri wangu ifahamike. Yule Dr.jina mfukoni siku moja alianzisha mada sasa nikaamua kumsifia then nikampa challenge kidogo. Akafunguka na kuniambia kuwa ukisoma nchi za nje hususani mataifa ya Asia and so lazima uwe makini maana...
  5. Superbug

    JamiiForums Tanzania Omba Mungu usipate mafua hapa ulaya

    Narudia Tena omba Mungu usipate mafua hapa ulaya utaomba ardhi ipasuke. Waafrika tuna vimafua flani vya kikuda hasa ukiwa maeneo ya baridi Kama tukuyu pale isonje au Arusha. Vimafua hivi tukiwa bongo tunavichukulia poa tu ; tunafuta na leso au wale wasio wastaarabu wanafuta kwa mkono. Sasa...
  6. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Uingereza kukosa msaada wa kupambana na Corona kutokana na kujitoa Umoja wa Ulaya

    MIEZI miwili tangu Uingereza ilipotangaza rasmi kujitoa katika Umoja wa Ulaya (EU), tayari imeanza kuonja machungu ya kujitoa katika umoja huo, baada ya kukosa fursa ya kupata msaada wa kupambana na majanga katika kipindi hiki ambacho nchi hiyo imekubwa na janga la homa kali ya mapafu...
  7. Bubu Msemaovyo

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu coronavirus kuua zaidi Ulaya na Marekani

    Ndugu zangu wana JF Kwa muda wa siku tatu mfululizo nimetokewa na malaika katika ndoto alinieleza chanzo na sababu ya Coronavirus KUUA zaidi jamii ya hawa wenzetu wanaojiita bora zaidi kuliko sisi waafrika. Kuna mambo mawili muhimu ya kuzingatia; 1. Sababu ya kimazingira 2. Sababu za kibiolojia...
  8. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania 89% ya waliofariki na Corona wametoka bara la Ulaya, Marekani, China na Iran, huku 0.5% vikitoka Afrika na 0.2% weusi tii! Then why lockdown in Africa

    Ukifuatilia kwa umakini epidemiology ya ugonjwa huu haiziathiri ngozi nyeusi zilizokulia Africa zinazopambana na Virus wengi walioko kwenye Vumbi tunalokutana nalo pengine Vumbi hili lina particles ndogondgo ambazo hazitakiwi na mwili na hivyo basi kinga za miili yetu ziko stressed kuingia...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Waafrika wawajia juu wanaopendekeza chanjo ya COVID-19 kufanyiwa majaribio Afrika

    Supastaa wa zamani wa Inter Milan na Chelsea, Samuel Eto'o amewatolea uvivu maprofesa nchini Ufaransa kufuatia matamshi yao yasiyofaa juu ya Afrika kipindi hiki ambacho ulimwengu unatafuta ufumbuzi dhidi ya kupambana na ugonjwa wa Virusi vya Corona. Hakuna dawa ambazo zinaweza kuzuia ugonjwa...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania hatuwezi kuiga lockdown kama nchi za Ulaya

    Wana JF, Heshima kwenu wote Naona mitandaoni na baadhi ya wanasiasa wetu hapa bongo wakionekana kutamani nchi yetu iige kufanya lockdown kama walivyofanya Ulaya, Marekani na nchi nyingine tajiri zilizofanya hivyo. Ukweli ni kwamba hayo ni mawazo ya kipuuzi na ya kipunguani ambayo sijui mtu...
  11. kavulata

    JamiiForums Tanzania Afrika huu ndio wakati wa kuikuta Ulaya na Marekani Kiuchumi

    Afrika tuna bahati kuwa kasi ya kuenea na kufa kwa COVID-19 sio kubwa, tumshukuru kwa hili kwakweli. Sina uhakika kama hii inatokwna na uhodari wetu katika kuupiga vita ugonjwa. Hii ni tunu kutoka kwa MwenyeziMungu wetu. Lakini hatunabudi kuitumia bahati hii kwa kuchapa kazi kwa bidii wakati...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Vifo Vinavyotokana na Magonjwa ya Mafua vs Ugonjwa wa Corona Ulaya & Marekani

    Najua kuna watu wanafatilia sana na kushtuka na idadi ya watu wanaokufa huko Italy kutokana na ugonjwa wa korona. Vifo hivi vimeleta hofu kubwa kiasi kwamba watu kusitisha shughuli zote ili kuzuia maaambukizi. Kwa muktadha huo nimependa watu hasa wa dunia ya tatu kufahamu magonjwa ya mafua na...
  13. kidadari

    JamiiForums Tanzania Kosa No.1 kwa nchi za Ulaya ni kuondoa raia wao nchini Chini

    Baada ya mlipiko wa virus vya corona Covid-19 nchi za ulaya walijiona wako salama na hili janga haliwahusu....kebehi moja maarufu "Chinese virus" ilitamba kwenye anga a ulimwengu. Siku zikasonga masaa yakasogea....China akaelemewa...akapambana kiume. Hali ikawa tete nchi za ulaya wakafanya...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Njia pekee ya kuzuia CORONA Tanzania Ni kuzuia watu kuingia na kutoka nchini

    Ethiopia waligoma kuzuia safari China, Kuna cases 104 mwafrica 1 amekufa, Congo pia. Marekani wameshazuia, sisi haya mambo ya urafiki tuacheni, naiomba serikali nipo chini ya miguu yake wazuie safari zote, huu ugonjwa Ni mbaya. Corona ikija kutuua au kuua ndugu zetu CCM haitapona, nasema...
  15. simplemind

    JamiiForums Tanzania Corona inazidi kutikisa -Marekani imezuia usafiri kutoka bara la ulaya.

    Coronavirus Live Updates: Trump’s Travel Restrictions, Italy in Lockdown and N.B.A. Suspension Italy biashara zote zimefungwa isipokua famasi na maduka ya vyakula. NBA imesitishwa.
  16. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Marekani yazuia Ndege kutoka Ulaya kutua Marekani isipokuwa Uingereza tu ndo imeruhusiwa ndege zake kutua Marekani

    Tukiwaambia Corona saa hz ni tishio Angalia Jana Ufaransa imezuia mashabiki wa PSG kwenda Uwanjani Uingereza imetoa €30 billion kuzuia athari za kiuchumi Angela Mekel amesema ugonjwa huu unaweza kuambukiza 75% ya watu usipozuiriwa China itatoa $40 billioni kufidia athari za kiuchumi...
  17. K

    JamiiForums Tanzania Marekani kuzuia ndege zote kutoka Ulaya isipokuwa Uingereza, kwa siku 30

    Rais Trump amesema hatua hiyo ni katika kujikinga na kusambaa kwa virusi vya corona. Pia amewashauri Wamarekani mwenye umri mkubwa kuepuka kusafiri ikiwezekana Zuio hilo la Wasafiri kutoka Ulaya litakaloanza Kesho Ijumaa Machi 13, 2020 na kudumu kwa siku 30 halitawahusu Wasafiri kutoka...
  18. Nigrastratatract nerve

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu anadhani Nchi kama chumba chake cha kulala huko ulaya, Wazungu walishakupuuza haujistukii tu wala kujiongeza

    IMF wameshampongeza mzee Magufuli kwa kazi nzuri anayofanya unapoeleza ujinga wako wanakuona mwehu. World Bank tayari wametembelea miradi mbalimbali ya ujenzi unaoendelea Tanzania wa Reli ya kisasa na bwawa la mwalimu Nyerere. Ukija huku Tanzania utaiona mpya tuna mfugale Flyover, Ubungo...
  19. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Samatta atokea front page ya Daily Mail Sports, gazeti linaloheshimika Uingereza

    Mzuqa, Kijana wetu mpendwa Mbwana Ally Samatta, mshambuliaji hatari haijawahi kutokea tangu mbingu na nchi ziumbwe leo katika ukurasa wa mbele front page katika gazeti linaloheshimika Uingereza -- Dailymail -- wameleta history yake. Wamemuelezea jinsi ni tegemeo Aston Villa na anavyotarajia...
  20. beth

    JamiiForums Tanzania Umoja wa Ulaya (EU) waridhia kuipa Tanzania msaada wa Bilioni 132 uliokuwa umezuiwa

    Umoja wa Ulaya (EU) umekubali kuruhusu kutoa Sh132 bilioni kwa ajili ya kuchangia bajeti ya maendeleo ulizokuwa umezizuia. Uamuzi huo ulitangazwa jana baada ya Rais John Magufuli kufanya mazungumzo na balozi wa EU nchini, Manfred Fanti Ikuku jijini Dar es Salaam. Taarifa iliyotolewa na...
Back
Top Bottom