Rais Trump amesema hatua hiyo ni katika kujikinga na kusambaa kwa virusi vya corona. Pia amewashauri Wamarekani mwenye umri mkubwa kuepuka kusafiri ikiwezekana
Zuio hilo la Wasafiri kutoka Ulaya litakaloanza Kesho Ijumaa Machi 13, 2020 na kudumu kwa siku 30 halitawahusu Wasafiri kutoka...
IMF wameshampongeza mzee Magufuli kwa kazi nzuri anayofanya unapoeleza ujinga wako wanakuona mwehu.
World Bank tayari wametembelea miradi mbalimbali ya ujenzi unaoendelea Tanzania wa Reli ya kisasa na bwawa la mwalimu Nyerere.
Ukija huku Tanzania utaiona mpya tuna mfugale Flyover, Ubungo...
Mzuqa,
Kijana wetu mpendwa Mbwana Ally Samatta, mshambuliaji hatari haijawahi kutokea tangu mbingu na nchi ziumbwe leo katika ukurasa wa mbele front page katika gazeti linaloheshimika Uingereza -- Dailymail -- wameleta history yake.
Wamemuelezea jinsi ni tegemeo Aston Villa na anavyotarajia...
Umoja wa Ulaya (EU) umekubali kuruhusu kutoa Sh132 bilioni kwa ajili ya kuchangia bajeti ya maendeleo ulizokuwa umezizuia.
Uamuzi huo ulitangazwa jana baada ya Rais John Magufuli kufanya mazungumzo na balozi wa EU nchini, Manfred Fanti Ikuku jijini Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa na...
Leo ule mchakato wa uingereza kujitoa umoja wa ulaya unakamilika rasmi na hivyo rasmi uingereza haitokuwa mwanachama wa ulaya ifikapo saa nane usiku kwa saa afrika ya mashariki.
BBC inaripoti kuwa wananchi wanasherekea na kukusanyika kwenye jengo la bunge la uingereza wakifurahia kuwa huru...
Tayari Mh Zitto Kabwe na ujumbe wake wameanza kazi iliyowapeleka Ulaya , wameishakutana na Makundi kadhaa ya watetezi wa haki za binadamu kwa lengo la kunusuru demokrasia ya Tanzania .
Sisi wapenda haki na demokrasia ambao ni Wazalendo wa kutupwa tuko tayari kuunga mkono juhudi zozote...
Direct to the point Leo ndio tuzo zile kubwa za kuwatunuku wanasoka Bora wa Africa.
Ndani ya nyumba namuona mnyama kutoka Tanzania kipande Cha Madale Diamond himself ambaye Leo atatumbuiza kwenye tuzo hizo. Mbali na Diamond namuona pia aliyekuwa kocha wa arsenal mzee baba Wenger, pia Sedio...
Imesikika mara kadhaa kwamba viongozi (Wengi wa Kiafrika) wanaovunja haki za binadamu nchini mwao, au wale wanaorudisha utawala wa kitumwa kwenye nchi zao, ambao umeambatana na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, utesaji na mauaji ya wanaowapinga ikiwa ni pamoja na usiginaji mkubwa wa katiba...
Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani Mike Pompeo ameahirisha ziara yake nchini Ukraine na mataifa mengine barani Asia kufuatia shambulizi kwenye ubalozi wa Marekani mjini Baghdad lililofanywa na watu wenye silaha wanaoungwa mkono na Iran.
Pompeo alitarajiwa kuwasili Ukraine siku ya Ijumaa...
Takwimu mpya zinaonesha idadi ya wakimbizi wanaoingia katika mataifa ya Umoja wa Ulaya kwa njia haramu mwaka huu zimeongezeka kwa asilimia 46 ikilinganishwa na mwaka uliopita.
Hayo yameibuliwa katika ripoti ya Halmashauri ya Umoja wa Ulaya. Njia nyingi haramu ziliundwa kwa kuingilia Ugiriki na...
Mkutano wa kilele uliotarajiwa kuwakutanisha Waziri Mkuu wa India Narendra Modi na mwenzake wa Japan Shinzo Abe umeahirishwa.
Kulingana na wizara ya mambo ya kigeni ya India hatua hiyo inatokea wakati kukiwa na maandamano yaliyosababisha machafuko kwenye eneo lililoandaliwa kwa ajili ya...
Hatimaye viongozi wa nchi za Umoja wa Ulaya wamekubaliana hii leo kuwa na dhamira ya kufikia kiwango kinachokubalika cha kutosababisha gesi inazochafua mazingira ifikapo mwaka 2025 baada ya majadiliano ya muda mrefu mjini Brussels.
Rais wa Baraza la Ulaya Charles Michel amesema ilikuwa ni...
Habari!
Tayari baadhi ya timu zimekwisha kupangwa katika makundi kwa ajili ya mashindano ya 'UEFA EURO 2020', droo iliyofanyika mjini Bucharest nchini Romania ingawa bado haijakamilika huku Kundi 'F' likitajwa kama "Kundi la Kifo" litakaloyakutanisha mataifa matatu 'vigogo' wa soka barani Ulaya...
Serikali ya Benin imemshutumu balozi wa Umoja wa Ulaya Oliver Nette kuhusika na harakati za kutaka kuipindua serikali, baada ya kumuamuru kuondoka katika taifa hilo la Afrika Magharibi ifikapo Desemba mosi.
Msemaji wa serikali Alain Orounla aliwaambia waandishi habari kwamba ushirikiano kati...
Wiki iliyopita nilimsikiliza mchezaji nyota wa Yanga hapo zamani. Alihojiwa mambo mengi na kuahidi kuhitimisha jumapili hii.
Sijapata muda wa kusikiliza kipindi Leo. Je kamalizaje? Aliomba msaada gani kama ilivyo kwa wana njia panda wengi?
Kama naweza kutoa msaada nipm nimsaidie pia mchezaji...
Serikali imesema itakodi ndege kupeleka matunda na mbogamboga nje ya nchi kutoka katika viwanja vya ndege vya Songwe na Mwanza, wakati huu ikijiandaa kununua ndege ya mizigo kwa kazi hiyo.
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe alisema hayo wakati akijibu swali la nyongeza la...
Wadau mimi nahitaji kwenda Ulaya kutafuta maisha, nauli ninayo hivyo naombeni ushauri kwa anaefahamu nchi gani in Europe ina urahisi wa kupata kazi yoyote pia urahisi wa visa pia mahali pa kufikia?
Wadau naombeni msaada wenu kwa anaefahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.