YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,909
- 51,904
Kwa sababu ya Corona ndege za kutoka ulaya kuja Tanzania hazipo na hazijulikani lini zitaanza
Kwenye mchakato wa uteuzi wa mgombea uraisi chadema na vyama vingine vya upinzani ni vizuri vikateua wagombea uraisi waliomo ndani ya Tanzania. Wasije poteza kwa kuteua mtu ambaye hataenda kuchukua fomu ya kugombea uraisi tume ya uchaguzi hivyo kupoteza nafasi ya kuwa na mgombea uraisi Sababu hakuna ndege ya kumleta Tanzania
Kwenye mchakato wa uteuzi wa mgombea uraisi chadema na vyama vingine vya upinzani ni vizuri vikateua wagombea uraisi waliomo ndani ya Tanzania. Wasije poteza kwa kuteua mtu ambaye hataenda kuchukua fomu ya kugombea uraisi tume ya uchaguzi hivyo kupoteza nafasi ya kuwa na mgombea uraisi Sababu hakuna ndege ya kumleta Tanzania