Nakubali busara za Rais Magufuli dhidi ya lockdown iliyosababisha Ulaya kukoma njaa kutaka kujiua

Masi Lambo

JF-Expert Member
Apr 8, 2020
532
360
Kuna wanaofikiri kukosoa ni kuchukia, lakini wanaojua siasa za kweli wanajua kukosoa ni kujenga, hasa kama unakosoa kujenga sio kubomoa. Pia, kwenye siasa kuna kusifia pia, hivyo leo namsifu rais wetu, sio kwamba mie ni CCM, in fact sina chama, ila mwananchi na rais ni wa nchi nzima sio chama.

Nakili nilikosea kumkosoa Rais Magufuli juu ya lockdown, nchi nyingi za Ulaya sasa zinalia njaa kali na baadhi yao wamepata matatizo ya akili na kutaka kujiua kwa sababu ya lockdown.

Ingawaje Rais amewapotosha watu kufikiri korona imeisha, kazuia kupima kama nchi nyingine zinavyofanya, uamuzi wake dhidi ya lockdown unatia maana sasa. Nchi nyingi zipata tabu kurudisha uchumi lakini siye tutahinili kirahisi zaidi.
 
Acha bhangi . hivi unafikiri bila lockdown ulaya wangebaki mtu ? Ukiangalia kwa makini utagundua kwa Africa inchi zilizo report vifo vingi ni za waarabu huku nchi za sub-Saharan Africa zikireport vifo kiduchu sana. Meaning that inawezekana weusi hatupigwi sana
 
Acha bhangi . hivi unafikiri bila lockdown ulaya wangebaki mtu ? Ukiangalia kwa makini utagundua kwa Africa inchi zilizo report vifo vingi ni za waarabu huku nchi za sub-Saharan Africa zikireport vifo kiduchu sana. Meaning that inawezekana weusi hatupigwi sana
We ndiyo mvuta bangi kufikiri weusi hawapati korona sana wakati ndiyo waliokufa zaidi Ulaya na Marekani. Halafu mbona Tanzania na Afrika kwa ujumla haija athirika sana wakati lockdown zetu huwezi kulinganisha na za Ulaya ambazo na lockdown zao bado wameathirika sana?
 
Ulimkosoa wapi? Na wapi wameonesha wamarekani wanalia njaa?

Alafu mbona hata mtoto wa la 7 anakuzidi Kuandika vizuri.
Usiwe na hofu, mtoto wa darasa la saba ka wewe hajui kiswahili kikubwa cha kujieleza. Kwa sababu wewe hukuona nilipomkosoa siyo kwamba sikumkosoa.
 
Back
Top Bottom