ulaya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M.Rutabo

    JamiiForums Tanzania CAF awards 2019: tuacheni utani hata Ulaya awawezi kuifikia Egypt

    Direct to the point Leo ndio tuzo zile kubwa za kuwatunuku wanasoka Bora wa Africa. Ndani ya nyumba namuona mnyama kutoka Tanzania kipande Cha Madale Diamond himself ambaye Leo atatumbuiza kwenye tuzo hizo. Mbali na Diamond namuona pia aliyekuwa kocha wa arsenal mzee baba Wenger, pia Sedio...
  2. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Ni madhara gani huwapata viongozi wa Kiafrika wanaopigwa marufuku kusafiri kwenda nchi za Ulaya?

    Imesikika mara kadhaa kwamba viongozi (Wengi wa Kiafrika) wanaovunja haki za binadamu nchini mwao, au wale wanaorudisha utawala wa kitumwa kwenye nchi zao, ambao umeambatana na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, utesaji na mauaji ya wanaowapinga ikiwa ni pamoja na usiginaji mkubwa wa katiba...
  3. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Pompeo afuta ziara yake barani Ulaya na Asia kushughulikia kadhia ya Iraq

    Waziri wa mambo ya kigeni wa Marekani Mike Pompeo ameahirisha ziara yake nchini Ukraine na mataifa mengine barani Asia kufuatia shambulizi kwenye ubalozi wa Marekani mjini Baghdad lililofanywa na watu wenye silaha wanaoungwa mkono na Iran. Pompeo alitarajiwa kuwasili Ukraine siku ya Ijumaa...
  4. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Njia haramu za kuingia Ulaya zaongezeka

    Takwimu mpya zinaonesha idadi ya wakimbizi wanaoingia katika mataifa ya Umoja wa Ulaya kwa njia haramu mwaka huu zimeongezeka kwa asilimia 46 ikilinganishwa na mwaka uliopita. Hayo yameibuliwa katika ripoti ya Halmashauri ya Umoja wa Ulaya. Njia nyingi haramu ziliundwa kwa kuingilia Ugiriki na...
  5. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa Modi na Abe waahirishwa kutokana na machafuko India

    Mkutano wa kilele uliotarajiwa kuwakutanisha Waziri Mkuu wa India Narendra Modi na mwenzake wa Japan Shinzo Abe umeahirishwa. Kulingana na wizara ya mambo ya kigeni ya India hatua hiyo inatokea wakati kukiwa na maandamano yaliyosababisha machafuko kwenye eneo lililoandaliwa kwa ajili ya...
  6. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Viongozi wa Ulaya wakubaliana mkakati wa mabadiliko ya tabia ya nchi

    Hatimaye viongozi wa nchi za Umoja wa Ulaya wamekubaliana hii leo kuwa na dhamira ya kufikia kiwango kinachokubalika cha kutosababisha gesi inazochafua mazingira ifikapo mwaka 2025 baada ya majadiliano ya muda mrefu mjini Brussels. Rais wa Baraza la Ulaya Charles Michel amesema ilikuwa ni...
  7. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania EURO 2020: Kundi la kifo, Kundi F kuzikutanisha Ufaransa, Ujerumani na Ureno

    Habari! Tayari baadhi ya timu zimekwisha kupangwa katika makundi kwa ajili ya mashindano ya 'UEFA EURO 2020', droo iliyofanyika mjini Bucharest nchini Romania ingawa bado haijakamilika huku Kundi 'F' likitajwa kama "Kundi la Kifo" litakaloyakutanisha mataifa matatu 'vigogo' wa soka barani Ulaya...
  8. Influenza

    JamiiForums Tanzania Mwanadiplomasia wa Umoja wa Ulaya afukuzwa nchini Benin akidaiwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo

    Serikali ya Benin imemshutumu balozi wa Umoja wa Ulaya Oliver Nette kuhusika na harakati za kutaka kuipindua serikali, baada ya kumuamuru kuondoka katika taifa hilo la Afrika Magharibi ifikapo Desemba mosi. Msemaji wa serikali Alain Orounla aliwaambia waandishi habari kwamba ushirikiano kati...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Wadau wa clouds Fm njia panda: Jembe Ulaya alimalizaje?

    Wiki iliyopita nilimsikiliza mchezaji nyota wa Yanga hapo zamani. Alihojiwa mambo mengi na kuahidi kuhitimisha jumapili hii. Sijapata muda wa kusikiliza kipindi Leo. Je kamalizaje? Aliomba msaada gani kama ilivyo kwa wana njia panda wengi? Kama naweza kutoa msaada nipm nimsaidie pia mchezaji...
  10. beth

    JamiiForums Tanzania Serikali kukodi ndege ya mizigo kupeleka maua, samaki nje

    Serikali imesema itakodi ndege kupeleka matunda na mbogamboga nje ya nchi kutoka katika viwanja vya ndege vya Songwe na Mwanza, wakati huu ikijiandaa kununua ndege ya mizigo kwa kazi hiyo. Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe alisema hayo wakati akijibu swali la nyongeza la...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri: Nchi gani ya Ulaya ni rahisi kupata visa na kazi?

    Wadau mimi nahitaji kwenda Ulaya kutafuta maisha, nauli ninayo hivyo naombeni ushauri kwa anaefahamu nchi gani in Europe ina urahisi wa kupata kazi yoyote pia urahisi wa visa pia mahali pa kufikia? Wadau naombeni msaada wenu kwa anaefahamu.
Back
Top Bottom