johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Jana waziri wa fedha Mh Mpango amesema serikali imeingia mkataba na mashirika ya ndege ya nje mfano Rwandair na Ethiopian Airline kuweza kusafirisha minofu ya samaki kutokea Mwanza na mbogamboga kutoka KIA kuelekea Ulaya.
Swali dogo: Ile ndege ya ATCL iliyosafirisha nyama ya mbuzi haiwezi kufanya jukumu hili?
Maendeleo hayana vyama!
Swali dogo: Ile ndege ya ATCL iliyosafirisha nyama ya mbuzi haiwezi kufanya jukumu hili?
Maendeleo hayana vyama!