uingereza

  1. CUF Habari

    GE2020 Tuache Ujinga, Tanzania sio Uingereza

    TUACHE UJINGA, TANZANIA SIYO UINGEREZA! Mwaka 1997 aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza, John Major alishindwa uchaguzi na kupoteza nafasi yake ya kuendelea kuwa waziri mkuu. Inadawia kwamba tangu mwaka 1832 hakuna waziri mkuu wa Uingereza ambaye alishindwa uchaguzi kwa kishindo kama John Major...
  2. Ubumuntu

    Mambo ya kuzingatia ukitaka kununua gari Uingereza

    Salaam, Katika kujadili masuala mbalimbali yanayohusu magari, nilipata kuweka moja ya mitandao wa uuzaji na ununuaji wa magari Uingereza. Mtandao huu unaitwa Autotrader, ni moja mitandao maarufu na ya uhakika katika kununua na kuuza magari (mapya na yaliyotumika). Sasa ndugu Bavaria alipata...
  3. Bahati furaha

    Wanajeshi wa Poland kutegua bomu hatari la Uingereza lililodondoshwa katika vita vya pili vya dunia

    Wapiga mbizi wa jeshi la Poland wameanza operesheni ya hatari ya kunasua bomu kubwa la Uingereza lililotumika kwenye vita vya pili vya dunia lililo chini ya bahari. Karibu wakazi 750 wameondolewa kutoka kwenye eneo hilo karibu na mji wa bandari wa Swinoujscie, na operesheni hiyo inatarajiwa...
  4. Analogia Malenga

    Kenya yaitaka Uingereza iwachukulie hatua polisi wake 'waliomtesa Mkenya'

    Kenya imeiandikia Uingereza ikidai haki juu ya ukatili dhidi ya raia wa Kenya unaodaiwa kufanywa na maafisa wa polisi katika eneo la Colchester, Essex nchini humo. Tukio la ukatili huo lilichukuliwa kwenye picha ya video ambayo ilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii na kuibua hasira na vilevile...
  5. Analogia Malenga

    Uingereza na Kenya kukusanya $ 5bn kufadhili elimu baada ya Covid-19

    Waziri Mkuu wa Uingereza na Boris Johnson na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta wanatarajiwa kuzindua mpango utakaosaidia kukusanyadola bilioni tano sawa na (£3.8bn) kwa ajili ya kuwasomesha watoto kutoka jamii masikini duniani. Idadi ya wanafunzi walioacha shule imeongezeka zaidi wakati wa janga la...
  6. Sky Eclat

    David William Concar Balozi mpya wa Uingereza badala ya Sarah Green

    CURRICULUM VITAE Full name: David William Concar Married to: Caroline Virginia North Children: Three 2020 FCO, Director, Protocol 2016 to 2019 Mogadishu, Her Majesty’s Ambassador 2014 to 2016 FCO, Head, International Organisations Department and Commonwealth Envoy 2012 to 2014 FCO, Head...
  7. Superbug

    Uingereza UK Great Britain ndio taifa tata na kubwa duniani

    Amin usiamini uingereza ndio taifa tata zaidi kuliko lolote lile duniani. Hakuna Cha USA Wala Israel baba Yao mkuu Alie domant ni uk. Uingereza ameamua to mkimya na mpole kwenye anga za kimataifa ila kila Jambo kubwa duniani anahusika nalo Yani Yuko behind it. Liwe baya au zuri. Mfano...
  8. MWALLA

    Kumbukumbu: Gamboshi usiku yaonekana kama jiji la New York au London

    USIKU YAONEKANA KAMA JIJI LA NEW YORK AU LONDON. WENYEWE WAMWOMBA RAIS KIKWETE, MZEE WA VIJISENTI AKAWASAFISHE WAKAZI wa Kijiji cha Gamboshi, kilichopo wilayani Bariadi, Mkoa wa Shinyanga, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasaidie kusafisha kijiji chao kutokana na jina baya lililoenezwa duniani...
  9. Rahma Salum

    Akaunti ya mtandao wa Twitter ya Balozi wa China nchini Uingereza imeonesha kupenda “like” picha yenye maudhui ya ngono

    Ubalozi wa China nchini Uingereza umeomba mtandao wa Twitter kufanyia uchunguzi akaunti ya Liu Xiaoming Balozi wa nchini humo baada kuonesha kupenda maudhui ya picha ya ngono kupitia mtandao huo. Tukio lilitambuliwa mara ya kwanza na Mwanaharakati wa haki za binadamu Uingereza na kusababisha...
  10. Sam Gidori

    Charles Taylor ataendelea kutumikia kifungo chake nchini Uingereza

    Mahakama Maalum ya Umoja wa Mataifa inayosikiliza mashtaka dhidi ya rais wa zamani wa Liberia, Charles Taylor imesema kiongozi huyo wa zamani ataendelea kutumikia kifungo chake nchini Uingereza, na si nchini Liberia kama alivyoomba hapo awali kutokana na kigezo cha usalama. Kiongozi huyo wa...
  11. babu M

    Petra Diamonds imefunguliwa kesi katika Mahakama ya Uingereza kutoka na Ukiukaji wa Haki za Binadamu

    Hii hapa chini ni statement ya Petra diamonds leo asubuhi kwenye soko la hisa London(LSE) Petra Diamonds Limited ("Petra" or the "Company") Statement regarding allegations of human rights abuses at the Williamson Mine in Tanzania Petra Diamonds Limited states that a UK-based law firm, Leigh...
  12. Miss Zomboko

    Mikusanyiko zaidi ya watu 6 yapigwa marufuku nchini Uingereza

    England to limit gatherings to six amid coronavirus resurgence At least 2,460 new infections were reported on Tuesday - a sharp rise from levels of around 1,000 per day in August. September 9, 2020 Tough new lockdown restrictions on social gatherings across England are to be announced on...
  13. B

    Prof. Kabudi aihakikishia Uingereza na jumuiya ya kimataifa uchaguzi huru, haki

    4 September 2020 Video source : millard ayo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeihakikishia Uingereza pamoja na Jumuiya ya Kimataifa kuwa uchaguzi mkuu unaotegemewa kufanyika mwezi Oktoba mwaka 2020 utafanyika kwa...
  14. BAVICHA Taifa

    GE2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

    Taarifa kwa Vyombo vya Habari na Umma Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mhe. Tundu Lissu, akiwa pamoja na Mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais, Mhe. Salum Mwalim Juma Mwalim, muda huu wanaelekea Ofisi za Tume ya...
  15. MK254

    Ufaransa waanza kulialia kwa Uingereza kama jinsi majirani zetu wanatulilia sisi Wakenya

    Jameni ifahamike corona imebadilisha dunia na hatuishi kwa mazoea tena, hili linapaswa kuwa somo kwa majirani zetu wanaotulilia sana, hatuwachukii wala kuwadharau, ila ni mwendo wa tahadhari tu, tumeweka afya ya Wakenya kama kipaumbele. Ufaransa wameapa kulipiza kisasi kwa Uingereza maana hao...
  16. Lu-ma-ga

    Wazanzibari msikubali kufanya kosa kama alilofanya Uingereza la kujitoa EU, mkitoka kurudi ni ngumu na ni gharama sana

    Itakuwa kosa kubwa sana kwa Wazanzibari kukubaliana na sera ya serikali tatu inayopigiwa chapua na ACT chini ya jemedali Maalim Seif. Siku zote formula ya 1+1 = 3 ina manufaa makubwa na hasa kwa muungano wetu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania japo una changamoto zake, lakini changamoto siku...
  17. Return Of Undertaker

    Vituo vya utangazaji vyatakiwa kuomba kibali TCRA kurusha matangazo ya Vyombo vya Habari vya Nje

    Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Ziwa, Mhandisi Francis Mihayo amevitaka Vituo vya Utangazaji (Radio, Televisheni, Blogs na Online Tv) kuzingatia Kanuni mpya za Maudhui Mtandaoni 2020 na Kanuni Mpya za Redio na Televisheni 2020. Mihayo ameyasema hayo wakati wa kikao kati...
  18. mtwa mkulu

    Naombeni Mawazo kuhusu kusoma LLM Online Uingereza ama nchi nyingine za magharibi

    Wakuu, Ninaombeni maelekezo kuhusu kufanya masters online kwa vyuo vya ulaya na marekani, Ni njia gani rahisi ya kufanya hivyo? Naomba msaada kwa mtu mwenye uzoefu na hayo mambo. Ni chuo gani kilicho Bora na Cha uhakika? Mafunzo yanapatikana kwa muda gani? Ni majira gani ya kufanya...
  19. The Assassin

    Uingereza kuwataka wapelelezi wote wa kigeni nchini humo kusajiliwa kwenye daftari la wapelelezi wa kigeni

    Serikali ya uingereza inafikiria kuanza kuwataka wapelelezi wote wa kigeni(foreign spies) wanao ishi nchini humo kusajiliwa kwenye register ya wapelelezi wa kigeni. Wapelelezi wote wanaishi kwa mwamvuli wa diplomasia au diplomatic missions kwenye balozi zote nchini humo wanatakiwa kusajiliwa...
  20. Kurzweil

    Baada ya Miaka 16 Leeds United yarejea tena Ligi Kuu Uingereza

    Klabu ya Leeds United inatajwa kuwa na uhasimu mkubwa na vilabu vya Jiji la London vikiongozwa na Chelsea FC Leeds United wamefanikiwa kurejea EPL baada ya kuinyuka 1-0 dhidi ya Barnsley katika Uwanja wa Elland Road Washindani wao wa karibu West Bromwich Albion walipaswa kushinda dhidi ya...
Back
Top Bottom