johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
Mfano huu wa Spika Ndugai wa Mbunge wa Uingereza kuapishwa akiwa "mahututi" hospitalini na kwamba alikufa hapo hospitalini bila kukanyaga Bungeni unafikirisha.
Mstaafu Msekwa alisema Spika ni kama daktari anayepokea wagonjwa wengine wanapona na kuondoka na wengine wanakufa na kuondoka.
Kumbe kuapishwa ni jambo moja na kuingia Bungeni ni jambo lingine.
Hii inanikumbusha kuna watu huingia katika sakramenti ya ndoa takatifu wawapo kufani.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Maendeleo hayana vyama.
Mstaafu Msekwa alisema Spika ni kama daktari anayepokea wagonjwa wengine wanapona na kuondoka na wengine wanakufa na kuondoka.
Kumbe kuapishwa ni jambo moja na kuingia Bungeni ni jambo lingine.
Hii inanikumbusha kuna watu huingia katika sakramenti ya ndoa takatifu wawapo kufani.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Maendeleo hayana vyama.