uhusiano

  1. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Kuna athari zozote kama tukivunja uhusiano na WB,IMF au Marekani?

    Hivi kuna jambo lolote baya litatokea kama Tanzania tukiamua kuvunja uhusiano na Shirika la fedha Ulimwenguni (IMF), Benki ya Dunia (WB), au nchi ya Marekani? Badala ya mjadala wa kuendelea ama kutokuendelea kuwa na uhusiano na taasisi hizo ama nchi ya Marekani kwa nini kama taifa tusiamue...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Trump atishia kusitisha uhusiano na China

    Rais Donald Trump wa Marekani ametishia kusitisha mahusiano na China kutokana na dhima ya taifa hilo katika kusambaa kwa virusi vya corona ambavyo hadi sasa vimesababisha vifo vya zaidi ya watu 300,000 duniani. Katika mahojiano yaliyorushwa jana Alhamis Rais Trump amerejea shutuma zake dhidi...
  3. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Uhusiano kati ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19 na vile vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi

    Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19 (SARS Cov 2) na vile vinavyosababisha ugonjwa wa Ukimwi (HIV) vinafanana katika mifumo vinayoiathiri na pia tabia zake. 1. Virusi vya HIV vina Ribonucleic acid(RNA) halikadhalika virusi vya Corona vina RNA. 2...
  4. Dunamist

    JamiiForums Tanzania Uhusiano wa kiasi cha mafuta na matumizi yake

    Wakuu heshima nyingi ziwafikie Naomba kujuzwa uhusiano wa kiasi cha mafuta unachoweka kwenye gari na matumizi yake. Zipo habari kwamba ukiweka mafuta mengi kwenye tenki la gari yako (mfano full tank), yanadumu muda mrefu kuliko ukiwa unaweka kidogo kidogo (vibaba). Ikoje hii technically...
  5. toplemon

    JamiiForums Tanzania Bei ya sukari yaanza kupaa na bei ya unga yazidi kuongezeka

    Jamani bei ya sukari imeanza kupanda sasa kilo ni 3200 huku bei ya unga nayo ikipanda sana hadi 2100 kwa kilo Sukari ni baada ya serikali kupiga marufuku kuingiza sukari kutoka nje? Nashindwa kuelewa kwanini bidhaa nyeti kama sukari izuiwe kutoka nje kwa maneno eti wanalinda viwanda vya ndani...
  6. Abdalah Abdulrahman

    JamiiForums Tanzania Upotoshaji uliopo kati ya uhusiano wa teknolojia ya 5G na corona

    Hivi karibuni kumetokea uvumi katika mitandao ya kijamii kuwa kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya ugonjwa wa corona na Teknolojia ya 5G.Miongoni mwa hoja zinazotolewa ni kama zifuatazo:- 1. Kuwa karibu na 5G kuna sababisha corona, ndio maana nchi zilizo athirika zaidi ni zile zilizoanza...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Nimeshitushwa sana na kauli ya CCM ikionyesha kuwa South Africa au Namibia wasingekuwa huru hadi leo, tungeanzisha uhusiano wa kibalozi na Makaburu!

    Kuna msemo kwamba mtu anaweza kutenda au kufanya kitu ambacho kitamfanya hadi mtu aliyekufa na kuzikwa kaburini ageuke. Ndivyo nilivyohisi Nyerere akifanya kufuatia kauli ya Kanali Ngemela Lubinga juu ya msimamo wa sasa wa CCM katika suala zima la uchumi wa kidiplomasia. Akihojiwa na mwandishi...
  8. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kipanya: uhusiano wa karibu uliopo kati ya Corona Virus na Tume Huru ya Uchaguzi

  9. 44mg44

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri: Nilikuwa na uhusiano na single mother, sasa kanizalia mtoto, je nimuoe awe mke wa pili?

    Wadau kama heading inavyoeleza, mimi kuna kipindi nilikuwa na mahusiano na single mother kabla sijaoa, ambaye amefankiwa kunizalia mtoto. Baadae kidogo nikaoa msichana mdogo ambaye ndo mke wangu wa maisha. Nimekaa natafakari kuwa huyu single maza namwachaje? Je, nimuoe awe mke mdogo? Nipo...
  10. T

    JamiiForums Tanzania Diplomasia (Sio Ubabe) Itumike Kurudisha Uhusiano Mzuri Baina ya Tanzania na Taifa la Marekani

    Kufuatia tukio lililotokea hivi karibuni la Ndugu Paul Makonda (RC wa Dar es Saam) pamoja familia yake kuzuiwa kuingia Marekani limeacha doa la mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Marekani huku kukiwa na maoni tofauti katoka kwa watu; watu fulani wakiipongeza Marekani huku wengine...
  11. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Machafuko: Raia Burkina Faso kupatiwa silaha kupambana na wanamgambo wenye uhusiano na makundi ya kigaidi

    Wabunge nchini Burkina Faso wamepitisha kwa kauli moja muswada utakaowezesha raia wa kupewa silaha ili kupambana na makundi yenye ya waasi. Muswada huo ambao sasa unasubiri kutiwa saini na Rais unalengo la kupunguza mashambulizi yanayofanywa na wanamgambo wenye uhusiano na makundi ya al-Qaeda...
  12. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania Uhusiano wa Kamuzu Banda na Joyce Banda wa Malawi

    Hastings Kamuzu Banda Joyce Banda Wiki iliyopita nilijaribu kuwapa historia fupi ya Rais wa kwanza wa Malawi Mh Kamuzu Banda. Leo ninataka niwapitishe kidogo kwenye historia ya Joyce Banda moja ya akina Mama waliowahi kutikisa Afrika na Dunia kwa ujumla na kujizolea umaarufu. Alijipatia...
  13. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Jina la "Kenya" na "Kenyatta" vina uhusiano gani?

    Kuna jina la kipande cha ardhi cha Africa mashariki kinaitwa "Kenya". Wakati huo huo kiongozi aliyekiletea Uhuru kipande hicho cha ardhi kutoka kwa wakoloni waingereza anaitwa " Kenyatta". Nini maana ya "Kenya" na "Kenyatta", kwa kiswahili?
  14. Elius W Ndabila

    JamiiForums Tanzania Tunamsahau consular kwenye uhusiano wa kimataifa

    Na Elius Ndabila. 0768239284 Taifa lolote duniani ili liweze kuendelea na wananchi wake kunufaika na maendeleo ya nchi yao inategemea sana uhusiano wa kimataifa. Uhusiano wa Kimataifa unasimamiwa na sheria za kimataifa ambazo nchi mbali mbali duniani zilitia saini. Lakini nchi hailazimishwi...
  15. lee Vladimir cleef

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna uhusiano wowote Kati ya rangi ya mwanamke na joto la mwili?

    Kwa mapenzi makubwa kabisa nasema, nawapenda wanawake wa rangi zote, weusi na weupe. Kuna uhusiano wowote Kati ya rangi nyeusi na ukali wa joto la mwilini? Kusema kweli, imenitokea Mara zote nilipokula tunda la mwanamke mweusi/black Sana nakuta wana papuchi za Moto Sana,kuzidi wanawake weupe...
  16. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Marekani yaonya kuhusu kusitisha uhusiano wake na Sudan Kusini

    JUBA, Sudan Kusini SERIKALI ya Marekani imeonya kuwa italazimika kuutazama upya uhusiano wake na serikali ya Sudan Kusini baada ya viongozi wa Sudan Kusini kushindwa kuendeleza mchakato wa amani. Tamko hilo limekuja baada ya Rais Salva Kiir wa Sudan Kusini na Kiongozi wa upinzani Dkt. Riek...
  17. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kitu gani cha kijinga umewahi kukifanya kwenye uhusiano?

    Kama kichwa cha habari kinavyosema, kwa upande wangu hakuna ila nilikiona kwa rafiki yangu, alimnunulia mpenzi wake gari ikiwa yeye mwenyewe hana. Uhusiano wao haukudumu baada ya huyo mpenzi wake kumsaliti rafiki yangu vipi kwa upande wako?
  18. F

    JamiiForums Tanzania DC Charles Kabeho ana uhusiano wowote na marehemu Dr Charles Kabeho?

    Halo JF siasa. Mkimbiza mwenge Kitaifa 2018 Engineer Charles Kabeho ambaye sasa ni DC Chato, ana uhusiano wowote na waziri wa zamani wa Elimu, hayati Charles Kabeho?
  19. beth

    JamiiForums Tanzania The Shade Room: Mwanamuziki Vanessa Mdee adaiwa kuwa kwenye uhusiano na muigizaji wa Series ya Power

    Looks like Rotimi, aka Nigerian butterscotch, has been taken off the market and his new bae is an East African super star! Rotimi is currently boo’d up with Tanzanian singer/songwriter Vanessa Mdee, who also goes by Vee Money. She’s also an activist and television personality who is currently...
  20. zitto junior

    JamiiForums Tanzania Uhusiano Kati ya Vyombo vya Habari na Intelijensia

    Intelijensia inaelezwa kama taarifa za siri zinazokusanywa,kuchakatwa na kuchambuliwa ili kuwezesha serikali kuchukua maamuzi fulani ili kuongeza ufanisi. Umuhimu wa intelijensia haupimwi kwa uwezo wa wingi au usiri wa taarifa unaopatikana bali katika uwezo wa zile taarifa kupelekea maamuzi...
Back
Top Bottom