YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,911
- 51,889
Natafakari uhusiano wa ubilionea na umaskini
Ukiangalia mabilionea wote wanaoongoza duniani wamezaliwa familia duni au za kawaida tu wakiwemo akina Bill Gates.
Ukija Tanzania Bilionea Bakheresa alizaliwa familia ya kimaskini tu.
Ukija akina Reginald Mengi hivyo hivyo wametokana na familia maskini.
Ukija Bilionea Laizer huyu juzi tu aliyepata jiwe la Tanzanite la bilioni nane kazaliwa familia maskini tu.
Ukienda kenya familia tajiri namba moja Kenya ni ya Kenyatta. Na mzee Kenyatta alizaliwa familia maskini ya kutupwa.
Asia nzima bilionea namba moja ni Mukesh Ambani ambaye alitokea familia ya kawaida ya chini.
Hebu wataalamu elezeni kwa nini? Watu wengi hudhani mabilionea huzalishwa na mabilionea lakini ukifuatilia historia za mabilionea waliopo sasa hivi utagundua kuwa sio kweli wametoka chini kwa watu maskini na wa kawaida sijui kwa nini.
Ukiangalia mabilionea wote wanaoongoza duniani wamezaliwa familia duni au za kawaida tu wakiwemo akina Bill Gates.
Ukija Tanzania Bilionea Bakheresa alizaliwa familia ya kimaskini tu.
Ukija akina Reginald Mengi hivyo hivyo wametokana na familia maskini.
Ukija Bilionea Laizer huyu juzi tu aliyepata jiwe la Tanzanite la bilioni nane kazaliwa familia maskini tu.
Ukienda kenya familia tajiri namba moja Kenya ni ya Kenyatta. Na mzee Kenyatta alizaliwa familia maskini ya kutupwa.
Asia nzima bilionea namba moja ni Mukesh Ambani ambaye alitokea familia ya kawaida ya chini.
Hebu wataalamu elezeni kwa nini? Watu wengi hudhani mabilionea huzalishwa na mabilionea lakini ukifuatilia historia za mabilionea waliopo sasa hivi utagundua kuwa sio kweli wametoka chini kwa watu maskini na wa kawaida sijui kwa nini.