uhuru

  1. J

    Maana ya Uhuru wa vyombo vya Habari

    Vyombo vya habari huru humaanisha kuwa hakuna mtu anayepaswa kudhibiti na kushawishi utangazaji wake wa habari. Hakuna mtu anayepaswa kuviambia vyombo vya habari ni nini kinachoweza kuingizwa na nini hakipaswi kuingizwa katika habari wanazozitoa. Inamaanisha kuwa vyombo vya habari havifai kuwa...
  2. Geza Ulole

    When Uhuru is drunk of Ujamaa and forgets Capitalistic market free economic principles on maize trade

    MY TAKE Unaamini kinachoongelewa na Mheshimiwa hapa? amekuwa Mkomunisti ghafla? Tony254
  3. J

    Uhuru nilikuwa namuona Rais mstaarabu kuliko wote East Afrca kumbe ni hovyo mno

    Siasa za Kenya ni kama unaangalia series ya Game of Thrones in real life, zinasisimua na zipo very unpredictable Huyu jamaa Uhuru Kenyatta nilikuwa naumuona kama yupo civil, level headed, japo sikutegemea atakuwa perfect, kumbe huyu jamaa nae hana tofauti na wnasiasa wanafiki, madikteta na...
  4. S

    Miaka 60 ya uhuru, bado tunaning'iniza watoto kwenye miti kuwapima uzito

    Hii habari nimesoma twitter, habari inayosema watoto wadogo wanapimwa uzito kwa kuning'inizwa kwenye mti huko wilayni Tarime mkoa wa Mara(kuna picha ikionyesha tukio hilo). Hakika nimeshangazwa sana na hii habari, ila inaelekea hali hii ni ya kawaida tu kwa baadhi ya maeneo ya nchi yetu huku...
  5. J

    Baraza la Mitihani lakanusha Mtwara kushika nafasi ya mwisho matokeo kidato cha nne, yataka wananchi kupuuza taarifa hizo

    Baraza la mitihani nchini NECTA limekanusha taarifa zilizozagaa mitandaoni kwamba mkoa wa Mtwara umeshika nafasi ya mwisho matokeo ya kidato cha nne. Necta imewataka wananchi kupuuza taarifa hiyo kuwa shule 9 kati ya 10 zilizoshika nafasi za mwisho (umbwigi) zinatoka mkoani Mtwara. Source: ITV...
  6. May Day

    Tuburudike na siasa za Kenya Uhuru vs Ruto, Siasa hata misibani Rais wa nchi na Amiri Jeshi anagombezwa hadharani naye yupo hapo hapo

    Hivi inawezekana vipi Rais na Makamu hamuelewani lakini mpo wote tu madarakani? Mimi sio Mtaalamu wa siasa lakini sioni kama kuna mwisho mwema hapa kwenye hili vuguvugu la Uhuru vs Ruto. Vijembe vinazidi kushika kasi kuelekea uchaguzi 2020. Uhuru anaulizwa ni nini kinamshinda kumtimua Ruto...
  7. MK254

    Jeshi la KDF laikarabati meli ya M.V Uhuru

    Mwendo ni ule ule ===== Engineers work on MV Uhuru after it had stalled for approximately 13 years. THE STANDARD The Kenya Defence Forces (KDF) has unveiled a refurbished ship that it revived at a cost of Ksh250 million in the lakeside city of Kisumu. A video shared by KDF on Sunday...
  8. Hisha Sorel

    Ndiyo uhuru wa Habari/Kujelezea ni muhimu; Lakini mipaka ni Lazima iwekwe kwa ulinzi wa taifa. Kwanini? Zingatia kisa cha Ukraine

    Mnamo 2013, Wa-Ukraine walikusanyika katika mitaa ya Kyiv kuelezea wasiwasi wao juu ya njia mpya ya nchi yao. Harakati za “Euro-maidan” kama zilivyojulikana, zilipinga msimamo mpya wa Ukraine unaounga mkono Urusi. Rais wa Ukraine, Yanukovych, alisitisha ghafla kutia saini kwa makubaliano ambayo...
  9. Red Giant

    Majiji yetu yangepewa uhuru wa kujiendesha

    Kwa wenzetu majiji huwa yanaongozwa na mameya, mameya hawa huwa wanachaguliwa na wananchi. Hawa ndiyo huwa wanasimamia mambo yote ndani ya jiji, elimu, afya, usafi, uchumi, miundombinu nk. Ili kufanya hivyo sheria huwa zinayapa majiji uhuru mkubwa sana wa kuamua mambo yake na pia majiji haya...
  10. Red Giant

    Tujuzane historia ya Tanzania toka uhuru hadi sasa.

    Najua historia ina mambo mengi na mtu mmoja hawezi elezea yote. Tuelezee sehemu unayoifahamu. Mkusanyiko ukiwa mkubwa tutapata mwanga. Tujuzane kuhusu historia ya elimu, siasa, uchumi, ulinzi, biashara, kilimo, dini, bunge, mahakama, habari, teknolojia, haki, ufugaji, uvuvi, uhalifu, madini...
  11. S

    Shime Watanzania tuupiganie Uhuru wetu unaoporwa. Tutajuta!

    Mwalimu Nyerere na wenzake walipambana na mkoloni siyo kwasababu walitaka nchi yetu ipate ama ijenge vitu la hasha. Mwalimu Nyerere na wenzake walipambana na mkoloni siyo kwasabb walitaka kuunda serikali itakayo watisha watu na kuwafanya wawe na "heshima" kwa watawala. Mwalimu Nyerere na...
  12. J

    Mojawapo ya masharti ya STATUS ya Lissu nchini Ubelgiji

    Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo. Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake...
  13. Sinister

    Uhuru Grants Citizenship to Shonas & Tutsis Communities

    President Uhuru Kenyatta granted Kenyan Citizenship to 1,670 members of the Shona community who relocated to Kenya from Zimbabwe between the 1930s and 1950s. 1,300 members of various Rwandese communities living in Kenya were also recognised. The groups alongside the United Nations High...
  14. J

    Je, unafahamu Uhuru wa Mahakama unamaanisha nini?

    Uhuru wa Mahakama unamaanisha kuwa kila jaji au hakimu yuko huru kuamua kesi iliyopo mbele yake kwa mujibu wa sheria na ushahidi ulioletwa mbele yake, na katika kutekeleza majukumu hayo, hapaswi kuingiliwa, kushawishiwa, au kushinikizwa na mtu au chombo chochote, ikiwemo Bunge na Serikali kama...
  15. The Palm Tree

    Video: Tundu A. Lissu apewa tuzo ya Bush - Thatcher Award (BTA) ya kupigania Uhuru, Haki na Utawala bora toka IDU

    Video hiyo hapo juu ni David McAllister - Deputy Chairperson of International Democratic Union (IDU) & Member of European Parliament akitoa maelezo mafupi kabla ya kumkabidhi tuzo hiyo Mh. Tundu Lissu. Na katika video hii hapa chini Tundu Lissu akitoa neno la shukrani baada ya kupokea tuzo...
  16. J

    Mzee Mwamakula: Waislamu walimkaribisha Nyerere na kumpa uongozi wakati wa kudai uhuru ili kumuondoa mkoloni!

    Mzee Mwamakula ambaye ni afisa wa jeshi la polisi mstaafu akizungumza katika kipindi cha Malumbano ya hoja kinachorushwa na ITV amesema wazee wa kiislamu ndio waliokuwa wanaendesha harakati za kudai uhuru na kwamba Mwalimu Nyerere alikaribishwa na wazee hao ili kuongeza nguvu wakampa na uongozi...
  17. Sherlock

    Ethiopian Prime Minister Abiy Ahmed is scheduled to visit Kenya for two days

    Ethiopia’s Prime Minister Abiy Ahmed. /VCG Ethiopian Prime Minister Abiy Ahmed is scheduled to visit Kenya for two days from Wednesday, his first foreign trip since he announced the completion of military operations in the Tigray region of Ethiopia. While in Kenya, Abiy will join President...
  18. Dam55

    Uhuru Kenyatta: Mabeberu watuheshimu na sisi tutawaheshimu

    Chungu ya Mabeberu imemfikia Uhuru Kenyatta uzalendo umemshinda ayataka mataifa ya ulaya kuacha kuingilia maswala ya ndani ya nchi yao (Kenya) 'Mtuheshimu ndio tuwaheshimu', Rais Kenyatta aonya nchi za nje dhidi ya kuingilia masuala yake ya ndani Chanzo: BBC SWAHILI. MY TAKE; Uhuru Kenyatta...
  19. T

    Uhuru Breaks Ground on Ksh5B, 50-Storey Devolution Tower

    President Uhuru Kenyatta on Friday, December 4 broke ground on a new tower being developed for the Council of Governors (CoG). Located at the junction of Chaka Road and Argwings Kodhek Road in Hurlingam, Nairobi, the tower once completed is expected to be 50-storeys tall. The Ksh5 billion...
Back
Top Bottom