#COVID19 Uongozi ni kuonesha njia: Uhuru Kenyata apata chanjo ya Corona

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
119,456
222,686
Rais wa Kenya na mke wake wamekuwa miongoni mwa Wakenya wa mwanzo kabisa kujipatia chanjo ya Corona

No_Hate_No_Fear_on_Instagram:_“Rais_wa_Kenya_Mh._Uhuru_Kenyata_na_mkewe_wakipata_Chanjo_ya_cor...jpg

Hii ita motivate Wakenya wengi kupata chanjo na hatimaye kumaliza tatizo la corona nchini mwao .

Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
 
Bado ana ka safari karefu ndo maana ana kelele nyingi. Aishi miaka tele aushuhudie urais twitter
It's so Sad kwakweli.. ni wa kuombewa Mungu amvushe.
Hapaswi kulaumwi kwa improperly behavioral anazozionyeshwa. There's something triggering it
 
Back
Top Bottom