Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,456
- 222,686
Rais wa Kenya na mke wake wamekuwa miongoni mwa Wakenya wa mwanzo kabisa kujipatia chanjo ya Corona
Hii ita motivate Wakenya wengi kupata chanjo na hatimaye kumaliza tatizo la corona nchini mwao .
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya
Hii ita motivate Wakenya wengi kupata chanjo na hatimaye kumaliza tatizo la corona nchini mwao .
Mungu ibariki Jamhuri ya Watu wa Kenya