IKULU-DAR: Rais Samia Suluhu akutana na Mjumbe Maalumu wa Rais Uhuru Kenyatta. Rais Samia aalikwa rasmi kuzuru Kenya ili kukuza ushirikiano

Influenza

JF-Expert Member
Jul 1, 2018
1,442
3,353
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo 10 Aprili, 2021 amekutana na Dkt. Amina Mohammed, ambaye ni Waziri wa Michezo, Utamaduni na Urithi wa KenyaMjumbe Maalum wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Muigai Kenyatta Ikulu Jijini Dar es Salaam.

E2D54DF8-6E17-415F-8337-BE5AFE785CC4.jpeg


C8431096-0611-455D-8C77-1FE8D20A262F.jpeg


C392343C-A143-475B-ABB3-F6E9234545E8.jpeg
 
Tunapenda sana kuboresha mahisiano ila yasiwe ya kinyonyaji...kwa miaka mingi wakenya wamekuwa wakiyuhujumu katika tasnia ya utalii hata madini.

Wao ndio wamekuwa wanasoko kubwa la uuzaji wa Tanzanite kinyemela mpka ilifikia hatua..mataifa ya nje yakajua Tanzanite.

Ila kipindi cha JPM walinyooka...Hawa watu ni majirani ila umakini unahitajika sana.

Hata kipindi cha Nyerere tumewahi kuwafungia mipaka...hawa ni ndumilakuwili.

Hata kufa kwa EAC ya kwanza...hawa ndio waliochota raslimali nyingi. Sijui sisi tunakwama wapi.

Tanzania kwa ajili ya Watanzania; Waafrika na Walimwengu wote watakaofata taratibu zetu.
 
Tunapenda sana kuboresha mahisiano ila yasiwe ya kinyonyaji...kwa miaka mingi wakenya wamekuwa wakiyuhujumu katika tasnia ya utalii hata madini.

Wao ndio wamekuwa wanasoko kubwa la uuzaji wa Tanzanite kinyemela mpka ilifikia hatua..mataifa ya nje yakajua Tanzanite.

Ila kipindi cha JPM walinyooka...Hawa watu ni majirani ila umakini unahitajika sana.

Hata kipindi cha Nyerere tumewahi kuwafungia mipaka...hawa ni ndumilakuwili.

Hata kufa kwa EAC ya kwanza...hawa ndio waliochota raslimali nyingi. Sijui sisi tunakwama wapi.

Tanzania kwa ajili ya Watanzania; Waafrika na Walimwengu wote watakaofata taratibu zetu.
Duh.
 
Tunapenda sana kuboresha mahisiano ila yasiwe ya kinyonyaji...kwa miaka mingi wakenya wamekuwa wakiyuhujumu katika tasnia ya utalii hata madini.

Wao ndio wamekuwa wanasoko kubwa la uuzaji wa Tanzanite kinyemela mpka ilifikia hatua..mataifa ya nje yakajua Tanzanite.

Ila kipindi cha JPM walinyooka...Hawa watu ni majirani ila umakini unahitajika sana.

Hata kipindi cha Nyerere tumewahi kuwafungia mipaka...hawa ni ndumilakuwili.

Hata kufa kwa EAC ya kwanza...hawa ndio waliochota raslimali nyingi. Sijui sisi tunakwama wapi.

Tanzania kwa ajili ya Watanzania; Waafrika na Walimwengu wote watakaofata taratibu zetu.
Tatizo sio wao ni viongozi wetu wanatunga sheria za kufilisi Watanzania, hivyo inabidi watoroshe madini wakauze kenya, sasa unawalaumu wakenya ndio walikuja kututungia sheria?
 
Tunapenda sana kuboresha mahisiano ila yasiwe ya kinyonyaji...kwa miaka mingi wakenya wamekuwa wakiyuhujumu katika tasnia ya utalii hata madini.

Wao ndio wamekuwa wanasoko kubwa la uuzaji wa Tanzanite kinyemela mpka ilifikia hatua..mataifa ya nje yakajua Tanzanite.

Ila kipindi cha JPM walinyooka...Hawa watu ni majirani ila umakini unahitajika sana.

Hata kipindi cha Nyerere tumewahi kuwafungia mipaka...hawa ni ndumilakuwili.

Hata kufa kwa EAC ya kwanza...hawa ndio waliochota raslimali nyingi. Sijui sisi tunakwama wapi.

Tanzania kwa ajili ya Watanzania; Waafrika na Walimwengu wote watakaofata taratibu zetu.
Acha uchonganishi we mbongo.

Njoo na ushahidi ya haya unayoyasema we unajua nini kilisaababisha east Africa ikavunjika?kwa taarifa yako aliyesababisha ni nyerere na IDD amin.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan atakutana na mjumbe maalum (Special envoy)wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Uhuru Kenyatta leo katika ikulu Dar Es Salaam.

Uhusiano Kati ya Kenya na Tanzania ni moja Kati ya masuala yanayotarajiwa kupewa kipaumbele ikizingatiwa kuwa urafiki wa nchi hizi mbili 'ulivurugika' Sana katika kipindi cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli.

Ikumbukwe siku zote Rais Kenyatta amesisitiza kuwa Tanzania ndiyo taifa muhimu zaidi kwake na halioni kama mshindani bali kama mshirika wa kimkakati(Strategic partner).
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan atakutana na mjumbe maalum (Special envoy)wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Uhuru Kenyatta leo katika ikulu Dar Es Salaam.

Uhusiano Kati ya Kenya na Tanzania ni moja Kati ya masuala yanayotarajiwa kupewa kipaumbele ikizingatiwa kuwa urafiki wa nchi hizi mbili 'ulivurugika' Sana katika kipindi cha Hayati Rais John Pombe Joseph Magufuli.

Ikumbukwe siku zote Rais Kenyatta amesisitiza kuwa Tanzania ndiyo taifa muhimu zaidi kwake na halioni kama mshindani bali kama mshirika wa kimkakati(Strategic partner).
Nawatakia kila la heri katika mazungumzo yao.
 
Back
Top Bottom