gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 703
- 707
Habari wana jamiiforum wiki kama mbili zilizopita kuna mwanamke nilifanya nae mapenzi bila kinga baada ya kufanya nae mapenzi after one week kuna mabadiliko kadhaa yamejitokeza na ninahisi kaniambukiza ugonjwa wa Zinaa
1: Nikikojoa nasikia maumivu sana na baada ya kumaliza kukojoa nikikaa kuna vitu kama usaha vinatoka kwenye tundu langu la uume.
2: Uume ukisimama unauma au nikiubinya unauma.
Wadau kwa dalili nilizozitaja hapo juu je ni dalili za gonjwa gani la zinaa? Na je tiba yake ikoje na gharama zake? Je naweza tibiwa kwenye hata dispensary za mtaani? Je naweza kupata dawa kwenye maduka ya dawa nisaidieni mdogo wenu.
NB: Nimekoma kupiga mechi bila ndomu na nikipona nitatumia ndomu kwa kila tendo, eenh Mungu nisaidie.
1: Nikikojoa nasikia maumivu sana na baada ya kumaliza kukojoa nikikaa kuna vitu kama usaha vinatoka kwenye tundu langu la uume.
2: Uume ukisimama unauma au nikiubinya unauma.
Wadau kwa dalili nilizozitaja hapo juu je ni dalili za gonjwa gani la zinaa? Na je tiba yake ikoje na gharama zake? Je naweza tibiwa kwenye hata dispensary za mtaani? Je naweza kupata dawa kwenye maduka ya dawa nisaidieni mdogo wenu.
NB: Nimekoma kupiga mechi bila ndomu na nikipona nitatumia ndomu kwa kila tendo, eenh Mungu nisaidie.