nimechafukwa
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 287
- 227
Miaka ya nyuma nikiwa kijana nilikua na tabia flani ya kukaa kimya...
Naweza kumaliza siku nzima sijaongea kabisa na watu, meseji za watu nilikua si reply...yaani nakua na mood ya kutokutaka mazoea kabisaa na mtu yoyote...
Nilikua napendelea zaidi kujifungia chumbani..yaani nilikua na mind my own business sitaki kujua kumetokea nn wala sijui fulani kafanya nn....
Nilikua nikitaka kuongea na watu (kusocialize) lazima ninywe pombe....na nikinywa pombe nakua mtu tofauti kabisaa...napiga story sanaa na naenjoy....watu waliokua wananizunguka walikua wanapenda wanikute nimekunywa...
Wakinikuta na akili zangu walikua wanaboreka sanaa, mpka leo najiuliza ule ulikua ni ugonjwa gani???
Naweza kumaliza siku nzima sijaongea kabisa na watu, meseji za watu nilikua si reply...yaani nakua na mood ya kutokutaka mazoea kabisaa na mtu yoyote...
Nilikua napendelea zaidi kujifungia chumbani..yaani nilikua na mind my own business sitaki kujua kumetokea nn wala sijui fulani kafanya nn....
Nilikua nikitaka kuongea na watu (kusocialize) lazima ninywe pombe....na nikinywa pombe nakua mtu tofauti kabisaa...napiga story sanaa na naenjoy....watu waliokua wananizunguka walikua wanapenda wanikute nimekunywa...
Wakinikuta na akili zangu walikua wanaboreka sanaa, mpka leo najiuliza ule ulikua ni ugonjwa gani???