Mpina: Kuna tuhuma za wizi wa kutisha! Deni la serikali lapaa kutoka trilioni 60.7 hadi 115.2 kwa miaka mitano

Mpina: Kuna tuhuma za wizi wa kutisha! Deni la serikali lapaa kutoka trilioni 60.7 hadi 115.2 kwa miaka mitano

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,914
Reaction score
16,528

"Kuna tuhuma ya wizi wa kutisha kwenye mikopo ya serikali ambapo kwa miaka mitano iliyopita deni la serikali limeongezeka kutoka trilioni 60.7 Machi 2022 hadi trilioni 115.2 Februari 2026, sawa na ongezeko la trilioni 54.3. Deni limeongezeka kutoka ukuaji wa wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 19."

"Sasa, lakini kwa sehemu kubwa mikopo hii imechukuliwa kwa siri nje ya bajeti, na imepita kwenye na haijapita kwenye mfuko mkuu wa serikali. Na maana yake kama haikupita kwenye mfuko mkuu wa serikali imepita kwenye akaunti za watu binafsi. Jambo hili haliruhusiwi, ni kinyume na ibara ya 135 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania."
 
Screenshot_20260531-132110~2.png
 
Pesa yote inapelekwa Zanzibar huku Tanganyika tukiumia na madeni.... CCM pumbavuu zenuuu
 
Back
Top Bottom