Rais Samia kama ana uchungu na Watanganyika kwanini hamchukulii hatua Afande Mafwele pamoja na tuhuma zote hizi?

Rais Samia kama ana uchungu na Watanganyika kwanini hamchukulii hatua Afande Mafwele pamoja na tuhuma zote hizi?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,461
Reaction score
9,470
Watanganyika tunaonewa sana. Kwanza kabisa taifa letu lilimezwa na sasa halijulikani lilipo. Tanganyika imemezwa. Tunadanganywa eti kuna Tanzania bara na Zanzibar.

Alafu tunaumizwa sana. Maana utekaji umekuwa ukiumiza amani ya mioyo ya watu.

Angalia tukio la Sativa. Kwenda kutupwa porini na kupigwa risasi kichwani.Mafwele alihusishwa na hizi tuhuma.

Leo ametekwa Kada wa Chadema. Mafwele anahusishwa na hizi tuhuma. Lakini rais ambae anatakiwa kulinda uhai wa raia wake kama amiri jeshi mkuu yupo kimya.
N.b kuandika Rais Samia sio kwamba nakubali alipigiwa kura halali na Watanganyika ile Oktoba 29.
 
Watanganyika tunaonewa sana. Kwanza kabisa taifa letu lilimezwa na sasa halijulikani lilipo. Tanganyika imemezwa. Tunadanganywa eti kuna Tanzania bara na Zanzibar.

Alafu tunaumizwa sana. Maana utekaji umekuwa ukiumiza amani ya mioyo ya watu.

Angalia tukio la Sativa. Kwenda kutupwa porini na kupigwa risasi kichwani.Mafwele alihusishwa na hizi tuhuma.

Leo ametekwa Kada wa Chadema. Mafwele anahusishwa na hizi tuhuma. Lakini rais ambae anatakiwa kulinda uhai wa raia wake kama amiri jeshi mkuu yupo kimya.
N.b kuandika Rais Samia sio kwamba nakubali alipigiwa kura halali na Watanganyika ile Oktoba 29.
Gentleman,
Rais wa Tanzania hadeal na porojo nonsense kama hiyo,

anawajibika kuwatumikia wananchi wote na kuwaletea waTanzania wote maendeleo endelevu ya kiuchumi, kijamii na kisiasa bila ubaguzi wala upendeleo.🐒
 
Gentleman,
Rais wa Tanzania hadeal na porojo nonsense kama hiyo,

anawajibika kuwatumikia wananchi wote na kuwaletea waTanzania wote maendeleo endelevu ya kiuchumi, kijamii na kisiasa bila ubaguzi wala upendeleo.🐒
Ignonore
Gentleman,
Rais wa Tanzania hadeal na porojo nonsense kama hiyo,

anawajibika kuwatumikia wananchi wote na kuwaletea waTanzania wote maendeleo endelevu ya kiuchumi, kijamii na kisiasa bila ubaguzi wala upendeleo.🐒
Ignored dunderhead
 
Mh Polepole alisemaga kwenye CCM kuna makundi mawili

Mashetan na Malaika hawafanyi kazi pamoja ila wanashirikiana
 
Watanganyika tunaonewa sana. Kwanza kabisa taifa letu lilimezwa na sasa halijulikani lilipo. Tanganyika imemezwa. Tunadanganywa eti kuna Tanzania bara na Zanzibar.

Alafu tunaumizwa sana. Maana utekaji umekuwa ukiumiza amani ya mioyo ya watu.

Angalia tukio la Sativa. Kwenda kutupwa porini na kupigwa risasi kichwani.Mafwele alihusishwa na hizi tuhuma.

Leo ametekwa Kada wa Chadema. Mafwele anahusishwa na hizi tuhuma. Lakini rais ambae anatakiwa kulinda uhai wa raia wake kama amiri jeshi mkuu yupo kimya.
N.b kuandika Rais Samia sio kwamba nakubali alipigiwa kura halali na Watanganyika ile Oktoba 29.
How’s that even possible? Yaani awatume yeye halafu yeye huyo huyo awachukulie hatua?
 
Watanganyika tunaonewa sana. Kwanza kabisa taifa letu lilimezwa na sasa halijulikani lilipo. Tanganyika imemezwa. Tunadanganywa eti kuna Tanzania bara na Zanzibar.

Alafu tunaumizwa sana. Maana utekaji umekuwa ukiumiza amani ya mioyo ya watu.

Angalia tukio la Sativa. Kwenda kutupwa porini na kupigwa risasi kichwani.Mafwele alihusishwa na hizi tuhuma.

Leo ametekwa Kada wa Chadema. Mafwele anahusishwa na hizi tuhuma. Lakini rais ambae anatakiwa kulinda uhai wa raia wake kama amiri jeshi mkuu yupo kimya.
N.b kuandika Rais Samia sio kwamba nakubali alipigiwa kura halali na Watanganyika ile Oktoba 29.
Killing machine ya Rais, ila Tanzania hakuna hata mafia wa kujutegemea kweli nchi ina wajinga wengi nchi zingine mafwele angesha kula chuma muda sana
 
Mzanzibari anaanza vipi kuwa na uchungu na Watanganyika!
 
unahisi mafwele anajifanyia kwa utashi wake aisee bado una safari ndefu sana
 
Back
Top Bottom