tra

  1. BASIASI

    Kwanini hoteli za Zanzibar hazitoi risiti za TRA wakati za Bara zinatoa? Shida nini?

    Wiki mbili zilizopita nimefanikiwa kulala hotel nne tofauti. Lengo si kuwasema lengo ni watu walipe kodi nchi iendelee. Katika hotel zote hakuna hata moja inayotoa risiti za TRA na unalipa 85000+. Nikianza na hii ya five star hapo Darajani nyingine kule Nungwi. Nyingine iko pale Kilimani...
  2. BASIASI

    TRA tokeni maofisini kakagueni magari, mengi Mjini hayajalipiwa na mengine yana sticker za bima fake

    Wakati muafaka kuendelea kumsaidia Mh. Rais atimize yale aliyopàngiwa na Mungu. Ndugu zangu TRA tokeni maofisini nenden mitaan mkakague magari mengi yako mtaani yamekwepa kulipa kodi tena wakishirikiana na baadhi ya wafanyakazi wenu wasio waaminifu. Tuamke sasa kumsaidia Rais. La pili, kuna...
  3. Kaka Pekee

    Msaada: Ushuru wa Bandari ni kiasi gani?

    Habari, Kwa utashi, uzoefu, ujuzi na hekima zenu tafadhali naomba kufahamishwa taratibu na gharama za Ushuru wa Bandari wakati wa kutoa gari kwa Port ya Dar Es Salaam. Nimejipigapiga na kuagiza kagari toka Japan ambako gharama yake ya Ushuru wa TRA kwa mujibu wa TRA Calculator ni kama 4Million...
  4. W

    PCCB Tanzania, to investigate the two tax collectors TRA and ZRB.

    Nimekutana na huu uzi ... Kwamba PCCB iko mbioni kuzimulika TRA na ZRB kwa kuihujumu serikali katika kukusanya mapato kwa kutumia mfumo wa kukusanya kodi kielektroniki e-RCS, kwa kuuzima mara kwa mara na kumdanganya Rais Magufuli kwamba umeharibika, kumbe TRA na ZRB na maafisa wa wizara ya fedha...
  5. tikatika

    Makontena ya Makonda: TRA wanatuhujumu au BANDARI wametuhujumu

    kila nikitizama picha na kuunganisha dot juu ya mnada wa makontena ya makonda na hatima yake naona kuna kamchezo pale!! mnada unashindikana kwa mara ya pili kwanini unashindikana?? sababu kubwa ni watu kutofika bei elekezi kutoka TRA. kwanini hawafiki bei? jibu ni moja mzigo hauna thaman...
  6. Ketoka

    Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

    Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda jana alifanya ibada maalum kanisani kwa ajili ya makontena yake yenye samani za shule yanayoshikiliwa na TRA Katika ibada hiyo Makonda alionya watakao nunua makontena yake watapata laana kali Pia aliwarushia dongo TRA akisema ni watu wabaya wasio na...
Back
Top Bottom