Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
Wadau sana, habari zenu?
Naomba kuuliza, kama mimi ni Consultant/Mtalamu nafanya kazi zangu na mashirika yasiyo ya kiserikali na napata angalau kamkate ka nyumbani, wale wanao nipatia kazi hunikata 5% ya malipo yangu je hii iko sawa?
2. Je, natakiwa kuwa na leseni ya biashara mimi kama mimi hata kama sina kampuni?
3. Je, natakiwa kufile Returns za Mwaka au wakishakata ile 5% tumemalizana nao
4. Je, natakiwa niwe na ile machine ya EFD
Nashukuru sana wana Jamvi kwa mwongozo.
Naomba kuuliza, kama mimi ni Consultant/Mtalamu nafanya kazi zangu na mashirika yasiyo ya kiserikali na napata angalau kamkate ka nyumbani, wale wanao nipatia kazi hunikata 5% ya malipo yangu je hii iko sawa?
2. Je, natakiwa kuwa na leseni ya biashara mimi kama mimi hata kama sina kampuni?
3. Je, natakiwa kufile Returns za Mwaka au wakishakata ile 5% tumemalizana nao
4. Je, natakiwa niwe na ile machine ya EFD
Nashukuru sana wana Jamvi kwa mwongozo.