Huenda linaanzia hapa,
Wenye mamlaka hawajui kama wana-mamlaka wanabaki kulalama,
Wangetumia mamlaka yao wasingelalama.
Waliopewa mamlaka wanahisi wao ndiyo wenye mamlaka,
Na kutokana na ufahamu wao wanapambana kuwaaminisha wenye mamlaka kwamba wao ndiyo wenye maamlaka.
Kinachofuata ni...