Heche: Sina Tatizo Binafsi na Rais Samia

Heche: Sina Tatizo Binafsi na Rais Samia

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
562
Reaction score
522
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, John Heche amesema hana tatizo binafsi na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Heche ameyasema hayo jijini Mwanza wakati akizungumza kwenye kongamano la Wasomi wa Vyuo Vikuu lililoandaliwa na Mtandao wa Wanafunzi wa CHADEMA Vyuo Vikuu (CHASO).
20260514_091236.jpg
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, John Heche amesema hana tatizo binafsi na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Heche ameyasema hayo jijini Mwanza wakati akizungumza kwenye kongamano la Wasomi wa Vyuo Vikuu lililoandaliwa na Mtandao wa Wanafunzi wa CHADEMA Vyuo Vikuu (CHASO).View attachment 3588483
Yes,
tatizo la heche ni bangi pamoja na athari za kubeti zilizopelekea afilisike pension yake yote ya ubunge na kurudu kuishi kwa wazazi.
 
Back
Top Bottom