Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 5,031
- 11,654
Kabla ya Rais kwenda mahali kunakuwa na communication nyingi na Objectif ya Safari.
Ya Kwamba Samia was not informed in advance juu ya project ya Tanga - inaacha maswali mengi juu ya Idara ya Usalama wa Taifa na Taasisi ya Ikulu
Na Kama ni kweli ilikuwa hivyo: it was supposed to be indoors conversation: inaamaana pia hili idara na ikulu hamlijui ?
Another area , ni kauli ya kuwanyuka vijana wanaokosoa viongozi.
Kuwanyuka maana yake ni kupiga watu na kwa matukio ya Oct 29 maana yake ni kuua watu : Hii inaonesha Idara ya Usalama na State house imepoteza weledi. Hakuna ufafanuzi dhidi ya kauli ya Samia yenye viashiria ya VIOLENCE na hii ina justify Samia hana Ethics na fundamental Characters za Uongozi. Tumeliharibu Taita, ni kweli nchi haijaribiwa now ndio nimeelewa msemo wa CCM
Aidha, Ruto alilazimika ku i dispute kauli ya Samia yenye viashiria ya Violence it is against the ethics maturity kwa watu unaowaongoza.
Matukio yote haya ni Ishara kuwa Idara ya Usalama na Ikulu kuna shida kubwa huko . Kuna Tatizo kubwa . Nchi imepoteza MISINGI
I wish Mngemsikiliza Gwajimasation kipindi kile
Dr Megalodon , MD, MMed. PhD
Canada
Ya Kwamba Samia was not informed in advance juu ya project ya Tanga - inaacha maswali mengi juu ya Idara ya Usalama wa Taifa na Taasisi ya Ikulu
Na Kama ni kweli ilikuwa hivyo: it was supposed to be indoors conversation: inaamaana pia hili idara na ikulu hamlijui ?
Another area , ni kauli ya kuwanyuka vijana wanaokosoa viongozi.
Kuwanyuka maana yake ni kupiga watu na kwa matukio ya Oct 29 maana yake ni kuua watu : Hii inaonesha Idara ya Usalama na State house imepoteza weledi. Hakuna ufafanuzi dhidi ya kauli ya Samia yenye viashiria ya VIOLENCE na hii ina justify Samia hana Ethics na fundamental Characters za Uongozi. Tumeliharibu Taita, ni kweli nchi haijaribiwa now ndio nimeelewa msemo wa CCM
Aidha, Ruto alilazimika ku i dispute kauli ya Samia yenye viashiria ya Violence it is against the ethics maturity kwa watu unaowaongoza.
Matukio yote haya ni Ishara kuwa Idara ya Usalama na Ikulu kuna shida kubwa huko . Kuna Tatizo kubwa . Nchi imepoteza MISINGI
I wish Mngemsikiliza Gwajimasation kipindi kile
Dr Megalodon , MD, MMed. PhD
Canada