SheriaE
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 606
- 446
Habari ya wakati huu!
Poleni na mapambano dhidi ya COVID 19.
Mimi kuna maswali kadhaa kuhusu COVID 19, Na mambo yanavyoendelea Tanzania hasa kwenye Social media. Yako kama hivi.
1. Kuna watu wanasema kwamba idadi halisi inafichwa ya waathirika wa COVID 19. Sasa swali liko hivi kama ni kweli idadi inafichwa ni kwa ajili ya nani au nini? Na wanaoficha wanalengo gani? Kwa faida ya nani? Na ili iweje? Naombeni ufafanuzi kwa wenye majibu sahihi niweze kufunguliwa ufahamu ni kwa nini mambo yanakwenda hivi. Just why?
2. Alafu kuna wengine wanasema watu wanaumwa wako hospitali lakini ni muda mrefu wamekaa huko bila kuchukuliwa vipimo. Katika hili kuna ukweli kiasi? Na kama ni kweli kwa nini iko hivyo? Ina maana hakuna pesa ya kutosha kununua vipimo?
3. Na kuna wati wengine wanataka serikali ichukue baadhi ya hatua. Lakini ikijaribu kufanya hivyo kuna wengine wanajaribu kusema serikali eti iwape msaada wati wakati wao wenyewe ndio walidai uko kitu, maana tayari walikuwa tayari wamejiandaa sasa kwanini watake msaada tena? Tanzania tunataka nini?
4. Halafu na hawa wa mitandaoni wanaotoa taarifa kuhusu COVID 19 wana lengo gani? Ni kutisha watu au ndio nini?
Mwisho ningependa kutoa mapendekezo au ushauri kwa serikali ya JMT.
1. Naona mpaka sasa hakuna jinsi ni bora lockdown ikahusika tena ile ya total sio partial huenda ikasaidia kwa sababu watu wameachiwa lakini bado kuna vitu havina ulazima still vinafanyika.
2. Pia kama ikiwapendaza serikali itoe pesa kidogo kwa kila kaya, wasiojiweza kuanzia laki moja mpaka tatu. Lakini isiwe lazima.
Tuendelee kuchukua tahadhari.
Kama huna mishe ya msingi kaa home.
Please be on your limit.
Poleni na mapambano dhidi ya COVID 19.
Mimi kuna maswali kadhaa kuhusu COVID 19, Na mambo yanavyoendelea Tanzania hasa kwenye Social media. Yako kama hivi.
1. Kuna watu wanasema kwamba idadi halisi inafichwa ya waathirika wa COVID 19. Sasa swali liko hivi kama ni kweli idadi inafichwa ni kwa ajili ya nani au nini? Na wanaoficha wanalengo gani? Kwa faida ya nani? Na ili iweje? Naombeni ufafanuzi kwa wenye majibu sahihi niweze kufunguliwa ufahamu ni kwa nini mambo yanakwenda hivi. Just why?
2. Alafu kuna wengine wanasema watu wanaumwa wako hospitali lakini ni muda mrefu wamekaa huko bila kuchukuliwa vipimo. Katika hili kuna ukweli kiasi? Na kama ni kweli kwa nini iko hivyo? Ina maana hakuna pesa ya kutosha kununua vipimo?
3. Na kuna wati wengine wanataka serikali ichukue baadhi ya hatua. Lakini ikijaribu kufanya hivyo kuna wengine wanajaribu kusema serikali eti iwape msaada wati wakati wao wenyewe ndio walidai uko kitu, maana tayari walikuwa tayari wamejiandaa sasa kwanini watake msaada tena? Tanzania tunataka nini?
4. Halafu na hawa wa mitandaoni wanaotoa taarifa kuhusu COVID 19 wana lengo gani? Ni kutisha watu au ndio nini?
Mwisho ningependa kutoa mapendekezo au ushauri kwa serikali ya JMT.
1. Naona mpaka sasa hakuna jinsi ni bora lockdown ikahusika tena ile ya total sio partial huenda ikasaidia kwa sababu watu wameachiwa lakini bado kuna vitu havina ulazima still vinafanyika.
2. Pia kama ikiwapendaza serikali itoe pesa kidogo kwa kila kaya, wasiojiweza kuanzia laki moja mpaka tatu. Lakini isiwe lazima.
Tuendelee kuchukua tahadhari.
Kama huna mishe ya msingi kaa home.
Please be on your limit.