COVID 19 in Tanzania analysis and next steps

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Niwasalimu wadau wa Jf!
Nirudie tena kwa kusema kuwa Tanzania pamoja na umasikini wake ilijiandaa vyema katika kukabiliana na majanga .maandalizi makubwa na yanayoendana na umasikini wetu ni katika well coordination ya kukabili majanga.
coordination is the key and the best way to achieve katika mapambano.

Mapambano dhidi ya COVID 19 ni mapambano ya kijeshi na askari muhimu ni kada ya afya.Hadi sasa these health workers soldiers have done their job intellectually na nguvu za Mola watatuvusha salama.

Hadi sasa viongozi wa siasa hawajataharuki...kwa kuwa jeshi kamili la Afya halijataharuki na linafanya kazi kiweledi kitu ambacho kinawapooza wanasiasa na jamii.

Kimsingi mlipuko huu wa COVID 19 unafuata kanuni/hatua za kawaida za milipuko yaani epidemic curve...ninamaanisha mwanzo -kilele -na kishuka.

Nimefiatilia kwa karibu mwenendo wa mlipuko huu nchini Tanzania na pia nimefuatilia mbinu za makabiliano zilizofanyika.

Uchunguzi wangu umeonesha kuwa kama Taifa tulijipanga...kwa kuwa case ya kwanza ilikuwa handled vizuri sana.
control ya mlipuko katika jiji la Dar es salaamu hapo awali ilikuwa laini ingawa baada ya cases kuongezeka walijitambua na kuufata mpango kazi maalumu wa kupambana na majanga.

Kwa sasa tupo ama tunaelekea kwenye kilele cha mlipuko(peak)
Tutegemee next week/2 weeks kuwa na spike ya cases ..hii haisharii uzembe bali natural course ya epidemic .tutegemee vifo kadhaa pia kama sehemu ya peak of this curve.

baada ya hapo tutaingia kwenye control phase as it happens in many nations..kwa sasa.

Maoni yangu kwa sasa ni kuwa DAR iongeze udhibiti kwa kuwa imeshajitambua.
Tanga ,Pwani Zanzibar na Mwanza stay solid!!

Mikoa mingine isimame kama ilivyokuwa imejidhatiti..wasikate tamaa.

After next two weeks tutaanza kuingia kwenye (recovery phase) kama dunia.

Maombi yanafanya kazi.
Ukiona Kiongozi wetu anataka maombi ...ujue tayari wataalamu wa afya na milipuko wameshampa taarifa za kipekee.

TANZANIA ITAUSHANGAZA ULIMWENGU KATIKA VITA YA COVID 19.

Tuendelee kushirikiana.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
 
Niwasalimu wadau wa Jf!
Nirudie tena kwa kusema kuwa Tanzania pamoja na umasikini wake ilijiandaa vyema katika kukabiliana na majanga .maandalizi makubwa na yanayoendana na umasikini wetu ni katika well coordination ya kukabili majanga.
coordination is the key and the best way to achieve katika mapambano.

Mapambano dhidi ya COVID 19 ni mapambano ya kijeshi na askari muhimu ni kada ya afya.Hadi sasa these health workers soldiers have done their job intellectually na nguvu za Mola watatuvusha salama.

Hadi sasa viongozi wa siasa hawajataharuki...kwa kuwa jeshi kamili la Afya halijataharuki na linafanya kazi kiweledi kitu ambacho kinawapooza wanasiasa na jamii.

Kimsingi mlipuko huu wa COVID 19 unafuata kanuni/hatua za kawaida za milipuko yaani epidemic curve...ninamaanisha mwanzo -kilele -na kishuka.

Nimefiatilia kwa karibu mwenendo wa mlipuko huu nchini Tanzania na pia nimefuatilia mbinu za makabiliano zilizofanyika.

Uchunguzi wangu umeonesha kuwa kama Taifa tulijipanga...kwa kuwa case ya kwanza ilikuwa handled vizuri sana.
control ya mlipuko katika jiji la Dar es salaamu hapo awali ilikuwa laini ingawa baada ya cases kuongezeka walijitambua na kuufata mpango kazi maalumu wa kupambana na majanga.

Kwa sasa tupo ama tunaelekea kwenye kilele cha mlipuko(peak)
Tutegemee next week/2 weeks kuwa na spike ya cases ..hii haisharii uzembe bali natural course ya epidemic .tutegemee vifo kadhaa pia kama sehemu ya peak of this curve.

baada ya hapo tutaingia kwenye control phase as it happens in many nations..kwa sasa.

Maoni yangu kwa sasa ni kuwa DAR iongeze udhibiti kwa kuwa imeshajitambua.
Tanga ,Pwani Zanzibar na Mwanza stay solid!!

Mikoa mingine isimame kama ilivyokuwa imejidhatiti..wasikate tamaa.

After next two weeks tutaanza kuingia kwenye (recovery phase) kama dunia.

Maombi yanafanya kazi.
Ukiona Kiongozi wetu anataka maombi ...ujue tayari wataalamu wa afya na milipuko wameshampa taarifa za kipekee.

TANZANIA ITAUSHANGAZA ULIMWENGU KATIKA VITA YA COVID 19.

Tuendelee kushirikiana.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Naunga mkono hoja
P
 
Kwa kipindi hiki wataalamu wetu wa afya wanageuka kuwa
1-maafisa usalama
2-maafisa uhamiaji
3-viongozi wa kiroho
4-wanasiasa
5-maafisa upelelezi
6-wazikaji
7-inovators
8-waalimu
9-washauri wa ujenzi
10-customer cares
11-askari magereza

n.k
 
Niwasalimu wadau wa Jf!
Nirudie tena kwa kusema kuwa Tanzania pamoja na umasikini wake ilijiandaa vyema katika kukabiliana na majanga .maandalizi makubwa na yanayoendana na umasikini wetu ni katika well coordination ya kukabili majanga.
coordination is the key and the best way to achieve katika mapambano.

Mapambano dhidi ya COVID 19 ni mapambano ya kijeshi na askari muhimu ni kada ya afya.Hadi sasa these health workers soldiers have done their job intellectually na nguvu za Mola watatuvusha salama.

Hadi sasa viongozi wa siasa hawajataharuki...kwa kuwa jeshi kamili la Afya halijataharuki na linafanya kazi kiweledi kitu ambacho kinawapooza wanasiasa na jamii.

Kimsingi mlipuko huu wa COVID 19 unafuata kanuni/hatua za kawaida za milipuko yaani epidemic curve...ninamaanisha mwanzo -kilele -na kishuka.

Nimefiatilia kwa karibu mwenendo wa mlipuko huu nchini Tanzania na pia nimefuatilia mbinu za makabiliano zilizofanyika.

Uchunguzi wangu umeonesha kuwa kama Taifa tulijipanga...kwa kuwa case ya kwanza ilikuwa handled vizuri sana.
control ya mlipuko katika jiji la Dar es salaamu hapo awali ilikuwa laini ingawa baada ya cases kuongezeka walijitambua na kuufata mpango kazi maalumu wa kupambana na majanga.

Kwa sasa tupo ama tunaelekea kwenye kilele cha mlipuko(peak)
Tutegemee next week/2 weeks kuwa na spike ya cases ..hii haisharii uzembe bali natural course ya epidemic .tutegemee vifo kadhaa pia kama sehemu ya peak of this curve.

baada ya hapo tutaingia kwenye control phase as it happens in many nations..kwa sasa.

Maoni yangu kwa sasa ni kuwa DAR iongeze udhibiti kwa kuwa imeshajitambua.

Mikoa mingine isimame kama ilivyokuwa imejidhatiti..wasikate tamaa.

After next two weeks tutaanza kuingia kwenye (recovery phase) kama dunia.

Maombi yanafanya kazi.
Ukiona Kiongozi wetu anataka maombi ...ujue tayari wataalamu wa afya na milipuko wameshampa taarifa za kipekee.

TANZANIA ITAUSHANGAZA ULIMWENGU KATIKA VITA YA COVID 19.

Tuendelee kushirikiana.
Mkakati iliyopo Tanzania ni madhubuti sana,approach yetu ni strategic na scientific watu wengi na hata nchi za jirani wanategemea wamuone kila siku Rais wetu akitangaza kila hatua inayochukuliwa

Wanasahau kuwa kuna kamati tatu ziko kazini Saa 24 tena ni technical team .Rais amesimama katika nafasi yake kama alama ya umoja wetu,huku akiwa ametoa maelekezo yote ya mapambano
 
Me Naona wahusika wa wananchi hawapo serious Na sisi. Take care of yourself kwa knowledge uliyonayo. Siku tukirudia ya Italy Ndio mtakumbuka haya maneno.
Thanks


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Me Naona wahusika wa wananchi hawapo serious Na sisi. Take care of yourself kwa knowledge uliyonayo. Siku tukirudia ya Italy Ndio mtakumbuka haya maneno.
Thanks


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ya Italy kwa PAPA hayatatokea
 
This is the pandemic

Umestate mawazo haya kama TZ ina first class facilities.

Kenya wameingiza Leo barakoa 500k, vipimo vya kutosha na upcoming days wanaingiza ventilators.

Sisi tuko wapi? Kama tunaelekea kwenye peak ndiyo tuwe hivi tulivyo Leo? Au tumejiandaa kuzika sana?

I Ought steps are here to be followed
 
This is the pandemic

Umestate mawazo haya kama TZ ina first class facilities.

Kenya wameingiza Leo barakoa 500k, vipimo vya kutosha na upcoming days wanaingiza ventilators.

Sisi tuko wapi? Kama tunaelekea kwenye peak ndiyo tuwe hivi tulivyo Leo? Au tumejiandaa kuzika sana?

I Ought steps are here to be followed
Kenya ni wazee wa copy n paste ...Tanzania ni real deal
 
This is the pandemic

Umestate mawazo haya kama TZ ina first class facilities.

Kenya wameingiza Leo barakoa 500k, vipimo vya kutosha na upcoming days wanaingiza ventilators.

Sisi tuko wapi? Kama tunaelekea kwenye peak ndiyo tuwe hivi tulivyo Leo? Au tumejiandaa kuzika sana?

I Ought steps are here to be followed

Unataka kila kitu utangaziwe vimeagizwa vipangapi?
Umeambiwa kuna upungufu wa vipimo?
Kuhusu Ventilators husikia habari kuwa Tz itaanza kutengeneza huko Arusha?
 
Back
Top Bottom