tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Ama kweli nabii hakubaliki nyumbani. Je, Magufuli ni nabii? Tanzania wanambeza, Afrika wanamlilia! Tanzania yapigiwa mfano Magufuli awe Rais wa Afrika

    Wanabodi, Kila nipatapo nafasi, huwa naandika makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", makala hizi huwa zinachapishwa na magazeti mbalimbali, hivyo Wahariri kuweni free kuitumia makala yangu yoyote, na be free kui edit kwa kiwango chochote utakacho ona inafaa, maana hata mimi sitaki tena...
  2. Je, sheria ya makosa ya kimtandao hapa kwetu Tanzania ni sheria kandamizi?

    Natoa angalizo mapema kabisa mimi sio mtaalamu wa masuala ya sheria. Ila nimeuliza hili swali nipate msaada. The Cyber crimes Act,2015 .Ni sheria kandamizi? Kwa sababu ni wazi kabisa uhuru wa kujieleza na kutoa maoni umewekwa wazi katika katiba ya JMT ibara ya 18 kujieleza huku katika katiba ya...
  3. R

    Mechanical engineers wa Tanzania wana msaada gani kwa nchi?

    Habari wanaJF? Hivi hawa MECHANICAL ENGINEERS wana kazi gani hapa nchini Tanzani? Nashindwa kuwaelewa kabisa kwa sababu wana ujuzi na hicho walichokisomea lakini wanshindwa kutumia huo ujuzi wao kusaidia jamii. Au elimu yenu ipo kwenye makaratasi? mfano kwa sasa tumekumbwa na janga la COVID19...
  4. Serikali ikitoa milioni 50 tatizo la Umasikini Tanzania litaisha

    Takwimu zinasema watanzania idadi yetu ni milioni 50 Bila shaka serikali inaweza ikasaidia kukazua vyuma kwa kutoa milioni 50 Ambapo hapo sisi kama taifa tuna uhakika wa kila mwananchi kujipatia milioni moja keshi kabisa iliyokamilika. Hesabu zinakuwa hivi; Pesa taslimu milioni 50...
  5. Uwezo wa wataalam wa Bioteknolojia na Microbiolojia

    Kuna mdau wa JF alisema hawawezi tengeneza dawa. Ok Nitaelekeza kwa mifano Hakuna pharmaceutical compound inayoweza tumika kwenye mwili bila kua na knowledge ya drug target (receptors, ligands, Au microbial cellular parts kama cell walls, plasma membrane, Nucleus, au nucleic acid target) na...
  6. Sekta ya Utalii Tanzania ijiandae kwa maisha ya Corona na baada ya Corona

    Janga la Corona mpaka sasa hivi limeathiri nyanja mbalimbali za uchumi. Ingawa mpaka muda huu sekta ambayo imeathiriwa zaidi na ipo ICU ni sekta ya Utalii. Nchi nyingi zimefanya lockdown, kuna kufutwa kwa safari za anga. Hivyo hoteli, migahawa, tax drivers, wakulima, wavuvi, tour companies na...
  7. Nini kimewasibu chama kikuu cha upinzani Tanzania?

    Najiuliza sana wala sipati jibu, kuna nini kimewasibu wa Chadema? Chama chenu kinaonekana kukubali kushindwa kabla hata refa hajapuliza kipyenga. Wabunge pamoja na wanachama wanawakimbia. Jana lile nyomi kule Tarime ni aibu kwa chama chenu. Mmekuwa kama mmepigwa shoti ya umeme na kuduwaa...
  8. BoT yatangaza Noti mpya

    Kuanzia Sasa kutakuwa na maboresho katika noti zetu hapa Tz, Kama zinavyojieleza kwenye picha.Source BOT. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Ipo haja ya kuangalia educational background ya wanaotoa maoni juu ya COVID 19 Tanzania

    Watanzania wawe macho na waropokaji wote wanaongelea COVID 19 katika media mbalimbali. Muda huu ni muhimu kuwasikiliza wataalamu wa afya Tanzania na wote waliotajwa kutoa taarifa rasmi. Hata kama kuna muigizaji ,mwanasiasa au mtu maarufu sana anatoa maoni yake basi ni vyema kujua ana...
  10. Benki yenye riba nafuu hapa Tanzania

    habari za muda wadau wa jukwaa hili,naomba kufahamishwa benki au taasisi yenye mkopo nafuu kuliko nyingine ili,niweze kwenda kujipatia chochote katika kulisongesha mbele gurudumu la maendeleo ya tanzania.nilipita nmb na mwalimu commercial bank,riba zao ni asilimia 17,na kuna baadhi ya mambo...
  11. Spika Ndugai: Hali ya watanzania ni ngumu, ni maskini sana wanaishi kwa kubangaiza, tukifunga nchi hawataweza kula

    Ndugai-"Hatuwezi 'tuka-paste' hatua za wazungu,tutaua watu" Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema nchi haiwezi kuchukua tahadhari kama zilivyochukuliwa na Mataifa mengine duniani ya kupambana na virusi vya corona kwa kuwa watu wengi nchini maisha yao ni ya...
  12. K

    Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) "mgonjwa anayepumulia kwenye mashine"

    Mimi kama mdau mkubwa wa Sekta ya kilimo kwa nyakati tofauti tofauti nimetembelea hii benki toka izinduliwe mwaka 2015 na kujaribu kupata mkopo kwa ajili ya shughuli zangu za kilimo na wakati mwingine kujaribu kusaidia wadau wenzangu kupata mikopo lakini katika hali ya kusikitisha saana haya ni...
  13. CoronaVirus: Uhamiaji Tanzania yawaongezea Wageni muda wa kukaa nchini baada ya kushindwa kusafiri

    Kutokana na mlipuko wa Ugonjwa wa #Corona na baadhi ya Wasafiri kushindwa kusafiri kurudi kwao, Tanzania imetoa muda wa nyongeza kwa wageni hao kukaa nchini Wageni wote waliokuwa wanatarajia kuja na tayari wamepewa ‘Visa Grant Notice’ lakini ameshindwa kusafiri ameongezewa miezi mitatu kutoka...
  14. R

    New regulations on work permits in Tanzania

    Criteria and conditions for issuance of each type of work permit Employment of Refugees Employment of non-citizens in the public sector Bulk recruitment of non-citizens Report on cessation of employment and failure by non-citizen issued with work permit to enter Tanzania within stipulated...
  15. Kikosi changu cha Ligi Kuu Tanzania Bara-VPL 2019/2020

    Nikiwa nimefanikiwa kuangalia mechi nyingi za VPL kabla kusimama kwa sababu ya janga la Corona, hili ni kosi langu la VPL 2019/20 1. Aishi Manula Simba SC 2. Shomari Kapombe Simba SC 3. Mohamed Hussein Simba SC 4. Bakari Nondo Coastal Union 5. Yakub Mohamed...
  16. Coronavirus: Burundi yatangaza kuwa na wagonjwa wa corona kwa mara ya kwanza

    Coronavirus: Burundi yatangaza kuwa na wagonjwa wa corona kwa mara ya kwanza Burundi yathibitisha kuwa na wagonjwa wawili wa corona. Waziri wa afya nchini humo Thadée Ndikumana, ametangaza watu wawili ambao ni raia wa Burundi kuwa na maambukizi ya virusi vya corona. Raia hao ambao wote ni...
  17. B

    Utabiri: Tanzania kwenda total lockdown mwezi April

    Wakuu huu ni utabiri tu si kama ile ndoto ya mheshimiwa Lema hivyo nadhani si haba kuuweka hadharani. Utabiri huu unazingatia ukweli kuwa serikali ya awamu ya tano imesheheni wasomi wazamivu na wasomi wabobezi kweli kweli. Kwa ma PhD na ma Profesa wote wale chini ya mkuu mwenyewe ambaye pia ni...
  18. New Job Vacancy at Chemonics International Inc Tanzania - Chief of Party

    Chemonics seeks a chief of party for the anticipated five-year, $25-50 million USAID-funded Tanzania Horticulture Activity. The project, anticipated to begin in early 2021, is expected to increase the competitiveness and inclusiveness of the horticulture subsector while improving the nutritional...
  19. Janga la korona ni vita kamili. Bajeti ya 2020/2021 iangalie uwezekano wa stimulus package

    Janga la Corona linaenda kuharibu uchumi wa dunia kabisa sekta ya utalii itapigwa vibaya sana uchumi wa mikoa inayotegemea utalii utaanguka kwa kiwango kisicho cha kawaida . Serikali ziangalie namna ya kufidia sekta hizi ili kuziokoa vinginevyo itakuwa ni zaidi ya kipindi kile cha vita ya Idi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…