Asalaam!.
Msingi mkubwa wa maendeleo katika Taifa ni siasa safi,,. Cha kusikitisha hapa kwetu hakuna,,, sio CHADEMA sio CCM wote wale wale tu wapiga dili wa the all time,,,hawa wengine wenye wabunge 2 ndo hata hawafai kuzungumziwa,,, watanzania tuendelee kuvumilia mabadiliko watayaona vitukuu...