konda msafi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 1,752
- 8,996
Kuna clip moja inasambaa instagram ikimwonyesha kijana mmoja mwanafunzi wa CBE akisindikizwa na askari kanzu kupanda kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kosa la kuwa na blog bila leseni kutoka TCRA.
Hizi sheria za kijinga zinapatikana Tanzania tu. Hivi CCM mbona inatulazimisha tuishi maisha ya kijima kama haya? CCM inadumaza uwezo wetu wa kufikiri, inatufanya tuishi kwa hofu kwenye nchi ya mababu zetu.
Mungu tusaidie kutuondolea huu utawala, Amina.
Hizi sheria za kijinga zinapatikana Tanzania tu. Hivi CCM mbona inatulazimisha tuishi maisha ya kijima kama haya? CCM inadumaza uwezo wetu wa kufikiri, inatufanya tuishi kwa hofu kwenye nchi ya mababu zetu.
Mungu tusaidie kutuondolea huu utawala, Amina.